Category Archives: Womanhood

“Much of this success was built on my own hard work” -Monica Joseph

“Wenye mioyo na fikra za upendo hubarikiwa zaidi”- Jackline Mengi

Ukichagua upendo kuendesha maisha yako utaishi kwa furaha na amani sana kwani utaonyesha upendo,utazungumza maneno yenye upendo,na utachagua upendo katika kila jambo,hata pale penye mchanganyiko wa chuki na upendo utachagua kuona upendo na kupuuza mengineyo.Siku zote wenye mioyo na fikra za upendo hubarikiwa zaidi na hiyo ndio siri ya maisha.

Happy women’s Day to all women!

Happy Women’s Day to all women around the world! Let us fight for Women’s rights because women’s rights are human rights we all deserve it and we need it!

Women to women is an event you don’t want to miss it out!

Katika ubora wake!

“I spread love babe and that’s why am tooo blessed.Try it!”-Zari the bossLady

Womanhood!

Kama unazifahamu tuambie!-Jackline Mengi

“Women are everywhere but Queens are scarce”!

Womanhood!

Jokate wetu! chaguo letu! Katika ubora wake!

Nani kaka Jojo?! Mwanamke wa shoka! Mrembo mwenye akili ya maendeleo na maadili!…… Keep on shinning mrembo wetu, wewe ndio chaguo letu hakuna mwingine!……. We love you Jojo!

Womanhood!

Womanhood!

Katika kuitafuta furaha usimuumize mtu mwingine ili wewe uwe na furaha- Dina Marios

Katika kuitafuta furaha usimuumize mtu mwingine ili wewe uwe na furaha.Kila lililopangwa kuja kwako litakuja tu kama Mungu amelipanga kuja.  Huwa nayatazama maua yakiwa bustanini.Ni maua ya aina tofauti lakini hupokezana kuchanua.Hili litakaa miezi hata tisa bila kuchanua lakini siku likichanua linapendeza kweli kweli,lingine huwa limechanua mara zote,lingine huitaji jua kali ili lichanue na kupendeza.Ndivyo hata sisi tulivyo hatufanani na kila mmoja ana wakati wake wa kuchanua…wakati wake wa kufanikiwa.Sidhani kama yale maua huwa yanaoneana wivu mbona yule kachanua mimi sijachanua?Usiitazame furaha ya mwenzako ukateseka nayo,mafanikio yake ukateseka nayo na wewe ukaitaka pengine na yeye ni kama lile ua linalokaa miezi tisa ndio lichanue.Itazame safari yako na wewe wakati wako ukifika utachanua Utang’ara.

Katika  kuitafuta furaha na mafanikio njiani usimkanyage mtu,usimuumize mtu.Unaweza kufanikiwa leo lakini sio milele.Kufumba na kufumbua mambo yanaweza kubadilika.Unaweza kuwa kwenye nguvu na control leo lakini huwezi kuushinda muda…muda hubadilika….Good morning!

Womanhood!

Have you seen our beautiful Emelda?!

Mmemuona Emelda wetu?! Looking beautiful and wonderful as always! Just love her! May God continue to bless her! ??

Jokate Mwegelo katika ubora wake!

Jokate wetu kama kawaida yake katika ubora wake! Hapa ni juzi kati katika mhafali ya chuo cha ufundi Police- VTC Kurasini!,……… What should I say! Keep on shining mrembo wetu! We are very proud of you!,,,,..Halafu for some reason kila nikimuona Jokate namfananisha na Princess Diana ??  trust me within the next 2yrs Jokate is going to be very big kuliko hapa! ……You go Jo-Jo!

Womanhood

fb_img_1482029214277Our mrembo Jokate Mwegelo look great as always! She got the look, brain, and big heart! Simply beautiful!screenshot_2016-12-17-20-38-19-1Nimependa sana hii nguo japo amekaa. It looks great and the color is beautiful!

Womanhood!

screenshot_2016-12-14-14-39-09-1screenshot_2016-12-14-14-39-02-1screenshot_2016-12-14-10-47-12-1 screenshot_2016-12-13-08-18-37-1screenshot_2016-12-13-08-18-15-1

Womanhood!

screenshot_2016-12-11-11-37-01-1screenshot_2016-12-10-22-42-17-1screenshot_2016-12-10-22-42-24-1screenshot_2016-12-11-10-33-41-1screenshot_2016-12-11-10-33-48-1screenshot_2016-12-10-20-46-28-1screenshot_2016-12-10-20-46-15-1