Kumbukumbu binafsi!

IMG-20160401-WA0018Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Muheshimiwa Samia Suluhu na Mr. Otieno O. Igogo wakipeana mikono baada ya mazungumzo kwenye ofisi ya Muheshimiwa Makamu wa Rais iliyopo ndani ya Ikulu ya Dar es salaam, Tanzania siku ya Ijumaa, tarehe 04 / 01/ 2016IMG-20160401-WA0017Nimeziweka hizi picha humu kwasababu ya kumbukumbu zangu binafsi na pia kwasababu nawapenda watu walioko kwenye hizi picha. Hakuna la zaidi.

Si vibaya kuanza upya-Dina Marios

Wakati na join Efm @efm_93.7 nilipata support ya watu wengi na pia nakumbuka watu wengi zaidi walinicheka na kunong’onezana amepotea, amefulia ni ndio basi tena. Ametoka radio inasikika mikoa mingi Tanzania kaenda karedio kidogo kanasikika Dar tu na Pwani. Na inawezekana hadi leo bado wanacheka na kuponda.

Kwenye list zilikuwepo radio kubwa tu zilizopenda kufanya kazi na mimi. Kwa hali niliyokuwa nayo nilikaa kwa Kina na kufanya maamuzi. Nilishaanza kuboreka na redio lakini Nilifanya research zangu kitaa na uongozi wa Efm93.7 @efm_93.7 nilishakutana nao mara kadhaa kisha nikafanya maamuzi.

Nikasema Yes naanza upya tena kwenye radio ndogo na mpya na nina ona bright future ahead. Sio vibaya kuanza upya kwenye maisha na sio lazima kukariri formula ile ile au wasemavyo watu angeenda BBC sijui safari ya maisha yako ipo mikononi mwako.

Kuna ndege anaitwa Tai ndege huyu huruka juu sana, ana nguvu sana na akiwa juu anaweza kuona hadi chini. Ndege huyo kuna wakati manyoya yake na mabawa huzeeka anakuwa hawezi kuruka tena vizuri yaani anakuwa fala tu. Anachofanya anajificha kwenye mapango anajipiga piga mpaka manyoya yote yanatoka mwilini kisha yanaanza kuota upya. Yakisha jaa anatoka mapangoni akiwa kazaliwa upya na anaruka tena juu zaidi mabawa yakiwa na nguvu zaidi.

Kuna wakati kwenye maisha inabidi uwe kama Tai. Anza upya, tafuta nguvu mpya, unakubali umepigika then unaanza upya. Efm nimekutana na vijana bado wana nguvu, ari na kiu ya kufanikisha nimejifunza kutoka kwao na wanajifunza kutoka kwangu. Ni miezi 7 sasa toka nimeanza hapo I feel new, spirit yangu imeamka upya kama wakati ule naanza 2005_2006 

Leo Efm 93.7 @efm_93.7 imetimiza miaka 2 na bado mambo mazuri na makubwa yanakuja my big boss @majizzo na vijana wake hawataki utani TUNALISONGESHA 

#tunalisongesha  HAPPY BIRTHDAY EFM   FB_IMG_1459791928255

Mr and Mrs Odinga ndani ya Chato!

IMG-20160403-WA0011Mr. Raila Odinga akitua kwenye Helicopter ndani ya mji wa Chato kwa Rais Dr. Magufuli. IMG-20160403-WA0012Ukweli: ukiwa na mtu mmeshibana kwa miaka mingi halafu hata wazazi wako hawajui au hajawahi fika kwenu. Basi huyo si rafiki ni “shoga” yako tu wa kusaidia maisha ‘kimujini mujini’ Rafiki lazima atajua kwenu na wakwenu watamjua!! IMG-20160403-WA0013Karibu Chato  shemeji, hapa ndiyo kwetu. Jisikie hupo nyumbani ?IMG-20160403-WA0015urafiki wa Dr. Magufuli na Mzee Odinga ni wa miaka mingi sana. Na leo hii amekuwa mtu wa kwanza (kwa viongozi / politicians) kutembelea Chato akiwa kwenye likizo yake ya kwanza. Hii inamaanisha kuwa Mzee Raila Odinga ni rafiki wakaribu sana na Dr. Magufuli au naweza sema ni ‘mabest friend’ kwa lugha ya kimujini mujini ?IMG-20160403-WA0019Raha sana kuwa na rafiki mliye shibana namna hii! IMG-20160403-WA0018Mama Magufuli anakula matunda ya uzao wake japo umri umekwenda. Lakini lazima atakuwa anamshukuru Mungu kwani kamuwezesha kuyaona matunda ya uzao wake kwa macho yake yeye mwenyewe na si kwa kusimuliwa.  Hongera sana bibi. Na urafiki wa watoto zako udumu mileleIMG-20160403-WA0016Walitoa heshima zao kwa kaburi la baba mzazi wa Dr. Magufuli……Screenshot_2016-04-04-11-45-10-1kwaheri ya kuonana. Karibuni tena

Meet Ninon Marapachi: Tanzanian ‘gemstone’ shinning brightly in America!

Screenshot_2016-04-03-08-25-07-1Screenshot_2016-04-03-08-25-56-1Screenshot_2016-04-03-08-26-10-1Screenshot_2016-04-03-08-27-35-1Screenshot_2016-04-03-08-19-47-1

Source click here

Usiamini katika wakati

Usiamini katika  Wakati kwani Wakati waweza kukudanganya… Wakati waweza kukufanya ukawa mpumbavu… Wakati waweza kukurudisha nyuma… Wakati waweza kukufungia milango ya Baraka…. Wakati waweza kukupotezea muda….

Usiamini kwamba ukiishi na MTU miaka 20 ukampa moyo  na mwili wako wote ukaongeza na maini na wakati wako wote basi ndio wako milele na hatakutenda….

Usiamini ukimzalisha /ukimzalia watoto 10 ndio wako wa maisha… Na Hata akikunyanyasa na kukutenda uendelee kumpa muda na kumuamini ukiamini atabadilika….

Usiamini katika  wakati kwani wakati hauna fursa… Binadamu tunazo fursa…. Usiamini katika wakati kwani wakati haufi… Binadamu tunakufa… Usiamini katika  wakati kwani wakati hauzeeki… Binadamu tunazeeka (japo najua wengi hatupendi uzee?)…

Usiamini katika  Wakati… KAMATA FURSA pale ulipo… Usiamini katika  wakati LIVE YOUR LIFE we just live once…. Usiamini katika  wakati JIAMINI MWENYEWE…..FB_IMG_1459686079711-2

Hot shot of the day

2016-04-02 22.51.15My darling daughter, looking HOTTy ❤❤❤

Birthday girl katika mapozi:Happy 22nd birthday mwanangu mimi!

2016-04-02 22.48.06#MyDaughter #MyOnlyOneChild#MyNumberOne #MyFirstBorn #MyLastBorn #MyHeartBeat #UzaoWaTumboLangu #MtotoWaUjanaWangu    

2016-04-02 22.47.20She is all grown and classy! Hey! Always remember money doesn’t buy class you got to learn it from someone! better tell em you learned it from your mama ?? 2016-04-02 22.50.14You made me experience the joy of motherhood! Asante sana, nakupenda sana.2016-04-02 22.51.52you are gorgeous my darling daughter ❤❤ 2016-04-02 22.52.46??? 2016-04-02 22.52.24Awiiii!  ? Mwanangu mzurijee!! ? you God!  Screenshot_2016-04-02-22-39-56-1Screenshot_2016-04-02-22-40-44-1Screenshot_2016-04-02-22-40-18-1Happy birthday gorgeous! I love you uuuuuu!

❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

The Lyimos

FB_IMG_1459651330953Familia ya Lyimo katika mapumziko nchini Canada. Jamani kazi na dawa eeh! Si mmeona hata Dr. Magufuli kaenda vacation Chato ?? ndio maana yake! Mtu ukisha fanya kazi sana sharti upumzishe mwili na akili. Pia ndo muda muafa wa ku spend quality time na familia. Mjifunze jamani kutoka kwa wenzenu, family is everything! IMG_20160402_214735Hapana chezea musichana toka kanda ya ziwa wee! Kitu kutoka Majita hiki ? when mama is happy, family is happy too! Always make sure mama yupo happy in the house! #MkeMwema #MamaMwema ubarikiwe milele zote ? IMG_20160402_214559Prince Amani na wazazi wake. Safi sana. IMG_20160402_214823Nice family. Mfano nzuri sana wa kuigwa haswa familia hizi za ‘majuu’ ambapo naona wakaka wengi wa Kibongo hawajui what does it mean to be a family man and does it take to be one!! ?? IMG_20160402_214645Pendeza sana kaka na dada. Mbarikiwe sana  IMG_20160402_214440The girls themselves! Pendeza sana mama na mwana. Mnafanana hadi mapozi FB_IMG_1459651330953Asante sana familia ya Lyimo. Enjoy your vacation, na mrudi nyumbani salama. Mbarikiwe sana 

Blessing katika ubora wake!

IMG-20160331-WA0015Mwe! Blessing kwa raha zako binti wa O.O Igogo ? haya bwana wee kula raha acha siye wengine tubebe “mabox” kwani mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe ??IMG-20160331-WA0016wacha wee! Pendeza sana ? IMG-20160331-WA0014taratibu Blessing, Usije ukajikuta na wewe ni “jipu” unaitaji kutumbuliwa ???? haya bwana ??

Kutoka Facebook

Screenshot_2016-04-02-07-41-18-1Leo kutoka Facebook nimependa hizi picha za mtani wangu! Katufanyia surprise ya mwaka?? yani huyu Muhaya kaenda nyumbani kwetu Utegi, Rorya, Mara akapiga na picha mbele ya nyumba yetu halafu akaja kuzirusha Facebook! Kweli wewe Muhaya kiboko!!!  Au ndo una nyemelea ‘makaratasi’ ya Utegi??FB_IMG_1459601128979-1Mtani asante sana kwa kufika nyumbani kwetu. That place is so dear to my heart! That is where I call it home! Hapo ndipo nyumbani my friend huko mjini mie nimeenda kufanya shopping tu kidogo nitarudi ?? ubarikiwe sanaaaaaa mpaka ushangae ?

Jumaa Mubarak

FB_IMG_1459513588390Jumaa Kareem wapendwa, Sabato njema,  na JumaPili njema. Mbarikiwe wote. …….Keep love around you all the time! ❤❤

Ni ujinga zaidi kutegemea pesa za misaada!

FB_IMG_1459455577520

Hot Shot of the day

FB_IMG_1459426513052Lilian looking beautiful! Kapendeza sana, pia rangi ya nguo is one of my favorites. Ubarikiwe sana.

Watoto wengine ni majanga!

FB_IMG_1459386353030Jamani, hivi vitu huwa vinatokea kweli japo vina chekesha. Kuna watu kadhaa ambao nawafahamu walikuwa na majina makubwa mjini, pesa za kumwaga (mafisadi wa Serikalini), watu wana wanyenyekea kama Mungu vile lakini kwao wazazi wanaishi kwenye nyumba ya udongo ??  Siku moja akafiwa na baba yake mzazi mmh! Kaenda kwenye msiba aibu tupu, yani hata yeye mwenyewe pakulala alikuwa hana ikabidi awe ana lala ndani ya gari! ??

Kuna mwingine yani yeye sasa alikuwa akija kwenye misiba ndo sehemu yake ya kutoa mashauzi na michango mikubwa kwa dharau ya kuwa yeye ndo ana pesa zaidi. Basi siku moja watu fulani (kumbe walimpania) waka ‘mnywea’ pombe. Basi alipo anza mashauzi yake tuu wale wababa wakasimama na kuanza kumzodoa. “Unajifanya unapesa hapa mjini wakati mama yako anaishi kwenye nyumba ya udongo iliyo ezekwa kwa manyasi! Ipo siku moto utashika nyumba na kumkaanga mama yako kama ngenge (sato)!!” ??? yani walimchambua kama karanga hadi yule baba alilia. Baada ya hapo mbona alienda mjengea mama yake nyumba nzuri yenye paa ya mabati ?? chezea vichambo vya wajaluo wewe??  Yani alimtoa mkewe aende kijijini kusimamia ujenzi kwa miezi 3 nyumba ikasimama ?

Kuna mwingine huyu ni kizazi cha “.com”! Kutwa yupo busy kupost picha za kwenye Facebook, na Instagram yupo kila kona ya dunia hii anakula na kulala kwenye mahotel makubwa na mume wa kizungu. Kuvaa expensive designers cloth. Wakati wazazi wake maisha yao mmh! Yeye akija TZ anafikia hotelini na familia yake. Wazazi ndo wanaenda kumsalia hotelini. Zinapigwa picha za kumwaga zina rushwa mtandaoni ??? Hawa ni watoto walilelewa katika maisha mazuri kweli kweli enzi hizo. Lakini wazazi wao hawakujali kabisa maisha ya wazazi wao kijijini watoto wakike ndo walio simama na wazazi wao!

Ujumbe: Tuwajali wazazi wetu. Na pia wazazi wakumbuke kuwa watoto hujifunza kwa kuangalia wazazi wao. Kama wewe mzazi humjali mzazi wako basi tegemea hayo hayo kutoka kwa watoto wako.

Sasa ngoja niwaulize nyie Wahaya mlioko kwa Obama, je wazazi wenu wana nyumba au mnaleta ubishoo tuu hapa ???

Hakuna Matata Kitchen

Screenshot_2016-03-31-08-57-05-1Wapendwa wasomaji wangu mlipo pande za kwa Obama, kuna dada yetu huyu amefungua home business yake ya kupika ambayo inaitwa Hakuna Matata Kitchen, yenye makao makuu yake mjini Austin, TX, USA Screenshot_2016-03-31-08-56-28-1Basi naomba wapendwa tu ‘like’ page yake kwa Facebook. Napia tumuungishe mkono mwenzetu. Binasfi bado sijakula vyakula vyake kwani nilikuwa simfahamu. Usihofie sana kuhusu utamu wa vyakula kwani vitu vizuri vinaonekana hata kwa macho tuu! Mpangilio (presentation) yake yatosha kutoa ushuhuda. Nipo jiani ku order vitu tofauti halafu nje nitowe hushuhuda wangu humu. Simnajua mie sipendi kutowa hushuhuda wa uwongo?? Screenshot_2016-03-31-08-56-47-1Wenyewe wana safirisha order yako popote pale ndani ya America. Japo sina huwakika kama unaweza kukaa na kula hapo kwake. Mfatilie kwa ukurasa wake wa Facebook kujua mengi.Screenshot_2016-03-31-09-00-39-1

Kutoka Facebook

FB_IMG_1459448207019-1Leo nimependa picha hii ya my schoolmate kutoka Kowak Girls Secondary school.  Yeye anaitwa Angela anaishi Musoma, Mara……… Angela pole sana kwa msiba wa baba. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe milele. Na baba aendelee kupumzika katika amani ya Bwana ?

Happy belated birthday Vivian

Screenshot_2016-03-31-13-22-03-1Happy belated birthday to darling niece Vivian. So sorry I missed your big day but you know I love you and wishing you the best of all that your heart desires. May you grow older to conquer the world! Happy birthday gorgeous. We all love you ?❤❤❤

What’s the best time to see the doctor?

Alot of times I hear  people says , they are students or don’t have money or still in debt  , so  they can’t see  financial advisor! My response is, what’s the best time to see the doctor?  When sick or when well? You talk to us when you are sick, broke, in debt, no saving, confused, …… coz we can help you get out of that but of you keep ignoring or assuming things will change without seeking help? …... Goodluck. 

MS. Betty Achapa-Financial and Tax expert in Houston, Texas
MS. Betty Achapa-Financial and Tax expert in Houston, Texas

THIS IS MS. B, INBOX ME FOR FREE ONE ONE ONE, WEBCAST OR PERSONAL

“Kilimo na ufugajI kwanza”

 

Screenshot_2016-03-31-07-52-23-1

MUONGOZO WA UZALISHAJI WA PAPAI UTANGULIZI

Papai ni moja ya tunda mashuhuli linatumika kwa kiasi kikubwa nchini Tanzania. Pia tunda hili linaweza kuwa na faida mbali na afya, katika kukuza uchumi wa mkulima wa zao hili. Pia linawezakuwa chanzo kikubwa cha pesa za kigeni kwa kuuza nje ya nchi.

Uzalishaji wa papai nchini Tanzania ni kwa kiasi kidogo ukilinganisha na mahitaji ya watumiaji, hivyo inahitajika nguvu zaidi katika uzalishaji wa zao hili.

KUHUSU MPAPAI: Kijinsia mpapai umegawanyika katika aina tatu

i) Mpapai wenye maua kiume tu ii) Mpapai wenye maua kike tu iii) Mpapai wenye maua ya jinsia zote (Hermaphrodite papaya)

Katika uzalishaji kila aina ya mpapai unahitajika. Mpapai wenye maua ya kiume uhitajika katika urutubishaji wa mpapai wenye maua ya kike ili kupata matunda. Mpapai wenye maua ya jinsia zote hauhitaji mpapai wenye maua ya kiume maana uweza kujirutubisha wenyewe.

Kutokana na jinsia ya maua mpapai huweza kutengeneza matunda yenye maumbo tofauti. Matunda yanayotengenezwa kutoka katika mpapai wenye maua ya kike tu huwa na umbo la mviringo zaidi au yenye umbo la yai na matunda yanayotokana na mpapai wenye maua ya jinsia zote mbili huwa na umbo la refu zaidi au umbo la pear.

UZALISHAJI WA ZAO LA PAPAI

Miche ya mpapaiKatika uzalishaji wa miche ya mpapai kuna aina mbili za mbegu ambazo huweza kutumika: –

1. Mbegu za Kawaida (Local seeds)

Hizi ni mbegu ambazo huweza kukusanywa toka katika mipapai ya kienyeji. Aina hii ya mbegu ni vigumu kujua kati ya mbegu ni ipi dume, jike ama yenye jinsia zote. Hivyo itakulazimu kung’oa baadhi ya mipapai dume pindi itakapo weka maua hivyo kuacha majike na yenye jinsia zote mbili. Mapapi yenye maua ya kiume uachwa kwa uwiano wa 1:50 ya mipapai yenye maua ya kike.

2. Mbegu chotara (Hybrid seeds)

Aina hii ya mbegu ni nzuri kwa sababu mbegu zote huwa ni ya mipapai nyenye maua ya kike na ya kiume pamaoja (Hermaphrodite papaya)na pia hukua haraka na kutengeza miti mifupi yenye uzao mkubwa ukilinganisha na ile ya kienyeji. Mfano. Red royolen F1, MALAIKA F1 n.k.

Upandaji

Panda mbegu moja tu kwa kila kiriba chenye udongo uliochanganywa vizuri na kujazwa robo tatu. Kisha weka viriba vyako venye mbegu chini ya kivuri kisha mwagilia maji. Baada ya kumwagilia unaweza pulizia kiasi kidogo cha kiuwatilifu (fungicide & Insecticide) kwenye udongo wako ili kuzuia wadudu na fungasi wasiathili mmea wako.

Mbegu ya papai uweza chukua siku 8 hadi 15 kuchomoza toka kwenye udongo. Hivyo hakikisha unamwagilia maji kila siku kwa kiasi. Usimwagilie maji mengi sana. Mpapai huweza kuamishwa toka kwenye kitalu baada ya wiki sita hadi nane.

Kitalu cha mipapai

BAADHI YA SABABU MUHIMU ZINAWEZA ATHILI UKUAJI WA MIPAPAI

Mpapai upendelea zaidi udongo unaopitisha maji na mzuko wa hewa kirahisi na wenye makadilio ya Ph 6.5.

yInapowezekana zuia kupanda mimea yako kwenye udongo wa mfinyanzi na wenye magadi.

Kiaisi cha maji kilichopo kwenye udongo huweza kuonyesha ukubwa wa matunda. Eneo lenye udongo wenye unyevunyevu mwingi huweza tengeneza matunda makubwa na yalioja maji maji na eneo lenye unyevunyeku kidogo hutengeneza matunda madogo na magumu.

Mpapai hawezi kuvumilia upepo mkali, maji yaliotwama pamoja na ukame.

UANDAAJI WA SHAMBA

Njia ya kuandaa shamba itategemea na eneo (topography), aina ya udongo, vifaa vinavyotumika kuhudumia shamba.

Nafasi

Nafasi kati ya mmea na mmea ni mita 2 hadi 2.5 na kati ya mstari na mstari ni mita 2.5 hadi mita 3.

Andaa mashimo yenye upana na urefu wa sentimita 60. Tenga udongo wa chini na wa juu. Kisha changanya udongo wa juu na mbolea ya samadi. Katika kurushisha kwenye shimo tanguliza udongo ulochanganywa na mbolea ya samadi chini na juu malizia na udongo uloutoa chini wakati wa kuchimba shimo.

NB: Kiasi cha mmea huwa kati ya 1000 hadi 2000 kwa hekari ( 400 hadi 800 kwa ekari)

Kupanda mimea shambani

Baada ya hizo wiki sita hadi nane hamishia mimea yako shambani. Kazi ya uhamishaji wa mimea ufanyika wakati wa asubuhi sana, jioni ama kukiwa na mawingu ili kuzuia madhara ya jua kwa mimea.

shamba la mipapai

Uwekaji wa mbolea.

Zuia matumizi ya mbolea zenye chlorine maana mipapai uathiliwa na chlorine. Wiki moja baada ya kuhamisha miche yako weka mbole gramu 28 kwa kila mche. Tumia mbolea yenye phospate kwa kaisi kikubwa. Mfano; – 12:24:12. (NPK)

Baada ya hapo kila baada ya wiki mbili weka mbolea yenye Nitroni kwa kiasi kikubwa kiasi cha gramu 56 kwa mmea. Mfano. 20:10:10 (NPK)

Potassium inahitajika kwa maua na kuweka matunda hivyo tumia mbolea yenye potassium kiasi kikubwa mara baada ya kuona mmea wako umeanza kuweka maua, kiasi cha gramu 114 cha mbolea huitajika, fanya hivyo kila baada ya mwezi. Mfano. 12:12:17 + 2 (NPK) . Weka mbolea ya majani yenye virutubisho vidogo vidogo ikiwemo boron kila mweze. Boron ni mbolea ya muhimu katika kupata matunda mazuri.

UmwagiliajiMaji ni sehemu ya muhimu sana katika maisha ya mmea kwa kipindi chote. Maji niya muhimu sana katika kuweka maua, matunda na ukuaji wa matunda. Katika ukuaji wa matunda hakikisha unaweka lita 23 kwa kila mmea kwa wiki.

Magugu

Hakikisha unazuia magugu kipindi cha mwanzo ili kuzuia ushindani kati ya mimea na magugu kwa virutubisho na maji. Na pia kuzuia magugu kubeba vimelea na wadudu wanaoweza kuathili mazao yako.

HATUA ZA UKUAJI WA MPAPAI

Kitalu – Wiki 1 – 6

Hatua ya ukuwaji wa haraka baada ya kuamishiwa shamba – wiki 7 -16

Maua na kuweka matunda – wiki 17 – 21

Kukua kwa matunda – 22 – 26

Mavuno ya kwanza – Wiki 37 nakuendelea ……………..Screenshot_2016-03-31-07-54-03-1-1Wapendwa wasomaji wangu, kama wewe ni mpenzi wa kilimo, ufugaji, au unapenda kununua / kuuza vitu organic toka shambani, basi unga na na hili group ☝ huko Facebook ili uweze kujiona mambo mbali mbali yanayo fanywa  na wengine.

Lilian katika harakati za kupungua!

2016-03-31 08.52.42Lilian katika harakati za kupunguza mafuta na maji mwilini. Najua kuna mtu atawaza eti “maji mwilini”! Yes! Siyo kila mtu mnene anamafuta mengi mwilini mwake. Wengine ni wanakuwa wana maji zaidi kuliko kiwango cha kawaida ambacho mwili utakiwa kubeba! FB_IMG_1459426856621FB_IMG_1459426830073Hizo picha hapo juu ☝ ni picha za mwaka jana (2015)  na hivyo ndivyo alivyo kuwa. FB_IMG_1459426625020-1Hii ? alipiga mwanzo mwa mwaka huu (2016) . Kapendeza sanaFB_IMG_1459426505974-1hapa ni picha yake ya sasa FB_IMG_1459426351487Yeye amekakazania sana mazoezi ya nguvu pamoja na diet. Screenshot_2016-03-31-07-14-17-1Naona ana ruka kamba, anaogelea sana, ana kimbia, pamoja na mazoezi mengine kama kuendesha bicycle………. Hongera sana Lilian.

Blog