Category Archives: Friendship

Muhtasari -sehemu ya 6: Nilitembelea rafiki zangu wa nguvu!

Alpha na Jerry

Namshukuru Mungu sana kwa kuniwezesha kuonana na marafiki zangu wanguvu! Ulikuwa ni wakati wanfuraha sana nilipo onana na kaka yangu Jerry Minja. Kwakweli Mungu yu mwema sana. Huyu kaka yangu ni tuliishi naye huko Kalamazoo, Michigan kabla ya yeye kuamua kurudi Tanzania na kuanzisha familia huko.

Pia nilifurahi sana kuonana na rafiki dada yangu Dr Flora Myamba. Huyu bidada naweza andika kitabu kizimaaaa kwaajili yake 😅😅 she’s my ride or die friend l! Yani hata kumuita rafiki naona kama nakosea jamani acha tu nimuite ninavyo jisikia, dada yangu! Wenye wivu wakanywe sumu wafe 😅😅😅 Huyu bidada na familia yake na ndugu zake wote ni binadamu na nusu!! Yani roho zao ni mfano wa Malaika!! Nafikiri ndio urafiki wetu umeweza kudumu kwa kiwango kilekile cha “grade A” muda huu wote kwasababu tabia na roho zetu zinafafana kwa kiwango kikubwa sema mie SINA uvumilivu wa watu wasiojitambua / wanafiki kama alionao Dr. Flora. 😅😅😅 Yani mie nikakujua wewe ni “wakichina” nakupa mkno wakwaheri haraka sanaaaaaaa. 😅😅😅 Sijui ku-vibe na fake people. Hiyo imenishinda kabisa mpaka leo hii. 🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙈 Hapo tulikuwa nje ya ofisi yake.

Tukiwa ofisini kwa Dr. Flora
Tukiwa site

Baada ya kutoka ofisini kwake akanipeleka site kuona mjengo wao watakao hamia hivi karibuni. Jamani, furaha niliyokuwanayo utasema mjengo wangu mimi!! 😍😍 this mansion is 🔥🔥🔥 Can’t wait kuanza kufanya party zetu like the way we used to do it in Michigan yoo! 😍😍💃💃

Ma’am! My friend got money, yo! Msimchukulie poa kabisa, ni level nyingine hii wengi wenu bado sanaaaaaaa kufika level yake! 😅😅 Happy and proud of her💃💃💃

Siku ambayo nilikwenda limsalimia kaka yangu Jerry huyu mpwa wangu hakuwepo. Alitamani kumuona aunt Alpha naye aunt Alpha hakusita kufunga safari kwenda kumuona. Ndio mtoto wa kwanza na wapekee (kwasasa 😜) wa Mr and Mrs Jerry Minja.

Muheshimiwa ndio alikuwa nami siku hiyo, hivyo Kristos alionana na aunt Alpha na aunt Magreth. Mungu ni mwema sana.

Hapa ilikuwa siku nyingine mimi na Dr. Flora tulikwenda kula mishikaki ya Samaki pale Container, Mikocheni. 😍😍 love you Dr.

Muhtasari wa matukio ya mwaka 2022 -sehemu ya kwanza.

Dec 2022

Mwaka 2021 niliufunga vyema na kuufungua 2022 vizuri sana. Namshukuru Mungu kwani umekua mwaka mwema sana wenye mibaraka mingi. Changamoto katika maisha hazikosekani kwani hatuwezi kujua tu imara kiasi gani kama hatutapitishwa katika changamoto hizo.

Daughter

Wanasema dhahabu au madini yoyote ya thamani hayapatikani juu ya barabara wala kando kando ya maji! Nilazima yachimbwe chini ya ardhi na yapitishwe kwenye moto mkali ndipo yawe haya madini tunayofurahia kuyaona. Hivyo, sikuzote tukipata changamoto tusikimbilie kusema “kwanini mimi?” Bali tumwambie Mungu najua hili ni darasa unanipitisha japo somo bado sijalielewa, naomba unipe HEKIMA ya kuweza kulielewa somo hili ili nifuzu mafunzo yangu vyema. Najua maumivu ninayopitia nikwaajili ya utukufu wako na mimi ndiye uliyenichagua kuwa kielelezo cha utukufu wako.

Basi kwa kusema hayo, naomba niweke kumbukunbu ya matukio yaliyozunguka maisha yangu mwaka huu wa 2022. Tukumbushane kushukuru katika kila jambo. Sikuzote tuhesabu mibaraka yetu kwani ni mingi mno sema tunafunikwa na upofu kwa kuangalia maisha ya watu wengine na kudhani kuwa wamebarikiwa kutuzidi. Hapana! Mungu anatubari sote kwa jinsi impendavyo yeye kwa wakati wake.

Hizi ni baadhi ya picha tulipiga mwanzoni mwa Dec 2021 tulikuwa maeneo ya tunako ishi karibu na NASA Space Center, Houston, Texas

Baadhi ya picha tulizopiga kwenye Christmas party 20021 iliyofanyika Hilton hotel, Houston, Texas.

2021 THC Thanksgiving Gala
April 2nd 2022

Mwenyezi Mungu alitubariki tukafurahia kuona mwanangu ameongeza mwaka mwingine. Ilikuwa siku ya Jumosi tarehe mbili mwezi wa Nne! Na zifuatazo ni baadhi ya picha ya siku hiyo.

Mama na mwana 😍

Simulizi ya maisha ya mzee O.O Igogo: Baada ya miaka zaidi ya 40 akutana tena na rafiki yake!

“Wilson Simon Mande, aliyekaa kati, leo kampigia simu Mzee OOI na kumjuza kwamba yupo jijini Dar, kitongoji cha Mgeni nani?? Kwa furaha na bashasha nimemuomba niende kukutana naye na ikiwezekana nimkaribishe chakula cha jioni kwetu Kibada.

Mzee Wilson, kaka yangu, rafiki wa kweli na Mfadhili aliyenipa ajira ya kudumu kwenye kampuni ya Kibo Paper Industries Ltd mwaka wa1975, akiwa Afisa Utumishi, nami nikiwa mchoovu asiye na ajira, na aliyekimbiwa na ndugu waliohamia kusikojulikana huko nyuma. Kwa mtonyo wa rafiki yangu Saidi Kikungo a.k.a mapersonality leo hii tumeonana tangia mwaka wa 1978 tulipoachana akiwa Kibo nami nikienda NECO LTD.

Namshukuru Mungu wetu kwa kuniwezesha walau nami nimuonyeshe furaha ya kumbukizi ya wema aliyonitendea miaka hiyo.” 》》》》 Hayo ni maneno yake mzee O.O Igogo mwenyewe siku ya leo 01 /13 / 2021.

WEMA HAUOZI

Vijana wa zamani, waliohitimu elimu ya msingi mwaka 1968 pamoja, wakutana huko Mbande. Mzee. John Wao Abila ( Kati) akipeana mkono na Mzee 0.O Igogo alipomtembelea nyumbani kwa mwanae jioni ya leo.

Historia ya maisha yao Mzee O.O Igogo, alipoteza ajira mnamo mwaka wa 1973, naye akalazimika kujikimu kwa kaka yake mmoja, huku akiendelea kusaka ajira. Baada ya miezi kadhaa siku moja alipotoka mahangaikoni Kunduchi ambapo siku hiyo hakufanikiwa kupata kibarua cha kusaidia mafundi ujenzi, ikambidi kutembea kwa miguu toka huko Kunduchi Beach, hadi Keko Machungwa kwenye maskani ya familia ya kaka yake. Kwa mshangao na butwaa kubwa, alikuta maskani ya kaka yapo holaa! Yaani familia hiyo wamehama nyumba na kwenda kusikojulikana bila ya kumwambia dogo O.O Igogo. Ilikuwa majira inayokaribia saa mbili usiku, hivyo dogo O.O Igogo aliyekimbiwa, naye hana hata senti moja ya kujikimu usiku huo wala kesho yake alijikuta akiangua kilio cha simanzi huku majirani walioambiwa kisa cha kutorokwa wakimcheka kwa kejeli.

Dogo O.O Igogo hakuwa na la kufanya zaidi ya kujiendea kwenye geto lake na kujibwaga kitandani na njaa yake ya kutwa na uchovu wa kutembea zaidi ya kilomita arobaini kwa mguu.

Kati kati ya usiku huo, alisikia hodi mlangoni kwake akiitwa jina na huyo rafikiye John Wao Abila, akamfungulia mlango. Rafiki yake kwa huruma akamweleza sikitiko lake kuhusu hao ndugu waliomkimbia. Hivyo alikuja kumuaomba waende naye nyumbani kwake kupata msosi. Dogo O.O Igogo hakusita, naye wakaongozana kwenda huko kwake. Tangia siku hiyo alikuwa mfadhili wake hadi alipopata ajira kwenye kiwanda cha Kibo Paper Industries Ltd. Rafiki yake alimpa funguo za mlango wake na kumruhusu kujipikia mchana na jioni iwapo yeye atakuwa yupo kazini.

Jana usiku nilimpigia simu ili nimjulie hali huko Utegi, naye akanijuza kwamba yupo hapa Dar. Hivyo ilinibidi kufunga safari na kumtafuta alipo huko Mbande ili nimjulie hali na kusaidiana panapo bidi. Wema wake na fadhali aliyonitendea ni hazina ya milele kwake, namshukuru siku zote, na iwapo pana mahala ana jambo la kumsaidia, siwezi kusita. NIMEFARIJIKA SANA KUMUONA LEO

*** Imeandikwa na Mzee 0.O Igogo November 26, 2020, nimeambatanisha na hiyo ya leo hapo juu kwasababu hii ya November26, 2020 nilikuwa sijaipost humu***

Magreth Nyasungu’s pre wedding photos moment

Magreth, bibi harusi mtarajiwa siku ya tarehe 27 December, 2018 alipiga picha za kumbu kumbu akiwa na ndugu zake pamoja na marafiki zake wa karibu.

Magreth akiwa na dada yake Mrs Nyagilo

Magreth (pichani juu) anatarajia kufunga ndoa takatifu hivi karibuni, tunamuombea Mwenyezi Mungu awatangulie katika safari yao.

Picha hizi zimepigwa na Rhevan studio, hivyo shukran zetu za dhati ziwafikie.

Kwa picha zaidi tembelea Rhevanstudio.com

Show me your friends

"One of the Greatest Blessings of Old Friends is that, You Can Afford to be Stupid with Them ? #SecondarySchoolClassMates #KowakGirls #1995-1998 Class #Wahenga" Janeth Igogo  

 

Mama’s trip to California!

 Mama yangu ndani ya California ??amekwenda kutembelea ndugu, jamaa, na marafiki ambao wanaishi katika jimbo hilo. Kwanza namshukuru sana Mungu kwa kumfikisha salama. Pili nawashukuru ndugu na marafiki wa California kwa kumu host mama yangu, haswa Ruth Ogot (gal!! Sina cha kukulipa zaidi ya kusema asante sana ubarikiwe milele). Haya mama enjoy your stay! ??? 

Wasichana wa Kowak katika ubora kwenu ??? much love!

Mzee Igogo amkumbuka rafiki yake waudogoni!

"Rarafiki wa tangia udogoni, JAO NYAKWARAKONG'O - CPA Veteran, former Chief Accountant of NMC Ltd, NAPOCO Ltd, LIDA and then a free lancer External Accounts Auditor. Nilimkumbuka saana nikaamua kumtafuta asubuhi hii ya leo saa tatu nikatua getini kwake. Picha imepigwa na Mke wake Nyategi."~~~~ Sir O.O Igogo 

Je, unawakumbuka rafiki zako wa utotoni? Au maisha yako yakipanda kidogo tu na hata wale mlio kuwa wote habari nao huna tena? Sisemi kila rafiki au mtu uliyekuwa naye au kuishi wote mtaa mmoja lazima awe rafiki yako wamilele, hapana! Marafiki wengine hata kama mmetoka mtaa mmoja inabidi tu uachane nao haswa kama hawaleti amani na furaha maishani mwako. Hata mimi kuna watu tumekuwa wote mtaa mmoja au tumesoma wote shule lakini sasa hivi tukikutana tunasalimiana tu na kila mtu anaendela na maisha yake. Hamna shida kabisa! Lakini kuna marafiki ambao kwakweli haiwezekani kuwaacha hata kidogo au kuwasahau kabisa!! Tukumbuke marafiki zetu......pichani ☝ ni shemeji yangu na rafiki wa baba yangu ambaye walikuwa wote. Na jana alikwenda kumtembelea nyumbani kwake Tabata kama maelezo yake yanavyosema. 

Je, unaye rafiki mwema na mwaminifu?!

Unaye rafiki mwema ambaye ni mwaminifu kwako wakati wote? Can we find a friend so faithful Who will all our sorrows share?! Rafiki wa kweli ni hazina kwako, lakini rafiki wa kweli ambaye ni mwema na mwaminifu huyo siyo rafiki bali ni ndugu! ...... Mzee Igogo akiwa Gongolamboto, Ukonga akiwa amekwenda kutembelea familia ya rafiki yake Daudi. Wachunguze marafiki zako kwa makini, na ujiridhishe kuwa ni marafiki wema na waaminifu.

 

Some people need Jesus not you!

Usitake kujifanya wewe ni Yesu mwana wa Mungu kwa kujifanya “shujaa ushwara” wa kubeba mizigo ya watu ambao hawabebeki! Hata Yesu yalipomfika akaona kikombe hakibebeki alimuomba Baba yake kuwa “Baba yangu, ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke”!! Some people need Jesus not YOU!!   

My bestie and I #FBF

My bestie and I somewhere in Masaki, Dar es salaam earlier this year!……..Sidhani kama nilishawahi kuwaeleza kuwa huyu rafiki yangu kipenzi ni shemeji yake na Freeman Mbowe kabisaaaa! Napia ni daughter inlaw wa Dr. Reginald Mengi ?? anyway that is not the point nawala havihusiani na urafiki wetu! Sisi tulisoma wote college pale CBE, Dar napia tulikuwa room mates! Namtakia kheri ya kufunga mwaka 2017 na baraka zote za kuanza mwaka 2018! Love her dearly! #FBF #2017

Happy holidays from mama Prince Kairo and her sisterhood squad!

“Pray for a family rather than just friends . These ladies right here though ….. I love my sisters . We are so grateful to have each other’s back #PrinceKairosAunties #HappyHolidays”—– Mama Prince Kairo       Beautiful smile mama Prince Kairo! Mmependeza sana, love that sisterhood spirit! …….Happy holidays to you all! 

Wema Sepetu: Kila lenye mwamzo lazima mwisho uwepo

Nifuraha ilioje ndugu wakipatana?! Kaka yangu kipenzi Mh. Paul Makonda akiwa na MoyoMtamu wa Tanzania Wema Sepetu nyumbani kwa RC  ?  Mungu ni mwema na amani iwe kwenu! Asante kwa wifi yangu Mrs Paul Makonda kwa kumkaribisha Wema nyumbani kwenu najua hapo lazima dinner fulani amazing ilipikwa au fresh juice fulani nzitooo zilinywewa na kushikana mikono kwa furaha  ???   kweli kuwa “shilawadu” lazima uwe na kipaji kwani si kazi ya lele mama ?? 

Embu msome Wema kwa maneno yake mwenyewe jinsi alivyo andika kupitia ukurasa wake wa Instagram ?? ” wemasepetu……. Kila lenye mwanzo lazima mwisho uwepo…… cc @paulmakonda … Le RC…”

Everyone Needs Someone!

            Everyone Needs Someone  People need people and friends need friends
And we all need love for a full life depends
Not on vast riches or great acclaim, Not on success or on worldly fame, But just in knowing that someone cares And holds us close in their thoughts and prayers- For only the knowledge that we’re understood
Makes everyday living feel wonderfully good,
And we rob ourselves of life’s greatest need
When we “lock up our hearts” and fail to heed. 

The outstretched hand reaching to find
A kindred spirit whose heart and mind
Are lonely and longing to somehow share
Our joys and sorrows and to make us aware
That life’s completeness and richness depends On the things we share with our loved ones
and friends.

***written by Foster M.M***

Nionyeshe marafiki zako nami nitakwambia wewe ni mtu wa namna gani!

Jokate Mwegelo (kushoto) akiwa na rafiki yake Sir. Theodora

Je, rafiki yako ni Nan?! Leo nimekwenda chungulia kwa mrembo wetu Jokate Mwegelo nikakuta kaweka picha za yeye na rafiki yake waliosoma wote secondary, nikafurahi sana moyoni kwani inaonyesha kuwa Jokate ni rafiki mwema. Pia nikaangalia rafiki yake huyo anamuonekano gani! Nikapata jibu, na hapa ndipo nikakumbuka ule usemi wa  wenzetu unaosema kuwa ‘nionyeshe marafiki zako nami nitakwambia wewe ni mtu wa namna gani’! “Show me your friends and I will tell you who you are”!  Watu unaokaa nao au kuongea nao kwa muda mwingi wana uwezo mkubwa wa ‘kukuambukiza’ tabia zao! Tabia zao zinaweza zikakujenga vyema au kukuangamiza! Pia kuna msemo wao mwingine unasema ” show me your friends and I will tell you your future” kwamba; nionyeshe marafiki zako nami nitakueleza maisha yako yabadae! Kwa mfano: kama wewe umezungukwa na marafiki waongo na wambea  basi wewe lazima utaishia kuwa mwanachama wa “SHILAWADU” ????? #Nionyeshe marafiki zako nami nitakwambia wewe ni mtu wa namna gani’! Choose your friends wisely! 

“Sr. Theodora nilisoma nae shule mmoja Sekondari. Alipokuwa Form 6 mimi nilikuwa F3. Ila saaa ndio mwalimu mkuu wa @stjchstz_official nilifurahi aliponialika kuongea na wanafunzi wake.” ~~~~~Jokate 

Womanhood!

Ain’t they beautiful! Rafiki yangu kipenzi na college mate wangu Dinnah (kulia) akiwa na rafiki yake waliosoma wote secondary, anaitwa Erica. ……..hapo wapo South Africa enjoying some quality time together. Dinnah ni owner wa Masaki Computer and Printing hivyo nawaomba follow hiyo account ya Masaki kwenye Instagram na pia kwa wale mliko Tanzania tafadhali muungeni mkono rafiki yangu ?? 

Je unamuhitaji huyo mtu maishani mwako? Je upo tayari kumvumilia tabia yake?

Swali la msingi hapo ni Je unamuhitaji mtu huyo maishani mwako? Je upo teyari kumvumilia tabia yake?!!….. Well, Maya Angelous said it very well “When people show you who they are believe them”!! This quote has been my guardian angel in picking and choosing who to be my friend and around me! Yes! Agree hakuna mtu aliye kamilika hapa duniani but there’s a distinctive line between mistake and evil!! Mtu yoyote anaweza fanya mistake lakini kuna mtu anafanya kitu au akanasema mpaka mtu unajiuliza hivi huyu ni binadamu wa kawaida? Kuna watu wana roho za kishetani kaa nao mbali na wala wasikudanganye na makeup wanazo paka, nguo wanazo vaa, elimu zao, wala uzuri wa sura zao! When someone does AN EVIL ACT to you that person is nothing but A DEVIL stay farrrrrr from him / her!

“The only advice you can get from a fool is a foolish advice.”

They told her to leave her husband because she’s worth more than him. They told her she’s beautiful and successful, that a woman of her standard deserves a better man with a better job income and personality . She listened to them and abandoned her home. Ts been over 7yrs since then and she’s still looking for a better man that matches her standard. The funniest part is that those friends who told her to leave her man are still with thier own husbands, doing everything possible to save their homes. Be very careful from who and where you take your relationship and marriage advice. The only advice you can get from a fool is a foolish advice. Anyone who recommends divorce or break up to you at every slight argument with your partner is an enemy that appears like friend.

A lazy man and a poor man are never the same. If a man doesn’t have today does not mean he will be lacking for life. As long as he’s GOD fearing, loving, caring and appreciative of your efforts you don’t have to worry yourself. There are only two ways to regret in life. BEFORE AND AFTER. Those who choose to regret later may regret for long. A woman who choose never to be patience for a while might ends up enduring for life. Marriage is not a bed of roses. Don’t get carried away by what you see, some marriages and relationship are just like a reality show of make believe.

Behind every beautiful family pictures is an untold story of agonies and pains. If you want a husband like Obama you must be ready to be a wife like Michelle. ~~~~~~~~ Akin Al-Ameen®™2017

 

***The Ladies picture has nothing to do with the story! Nawapenda kwani wanajitambua!***

Womanhood!

Ladies! Pursuing man is nowhere in the Bible!

Ruth did not pursue Boaz. Nor did God tell Ruth to pursue him!