Category Archives: Father and daughter (s) moment

Muhtasari wa matukio ya mwaka 2022 -sehemu ya kwanza.

Dec 2022

Mwaka 2021 niliufunga vyema na kuufungua 2022 vizuri sana. Namshukuru Mungu kwani umekua mwaka mwema sana wenye mibaraka mingi. Changamoto katika maisha hazikosekani kwani hatuwezi kujua tu imara kiasi gani kama hatutapitishwa katika changamoto hizo.

Daughter

Wanasema dhahabu au madini yoyote ya thamani hayapatikani juu ya barabara wala kando kando ya maji! Nilazima yachimbwe chini ya ardhi na yapitishwe kwenye moto mkali ndipo yawe haya madini tunayofurahia kuyaona. Hivyo, sikuzote tukipata changamoto tusikimbilie kusema “kwanini mimi?” Bali tumwambie Mungu najua hili ni darasa unanipitisha japo somo bado sijalielewa, naomba unipe HEKIMA ya kuweza kulielewa somo hili ili nifuzu mafunzo yangu vyema. Najua maumivu ninayopitia nikwaajili ya utukufu wako na mimi ndiye uliyenichagua kuwa kielelezo cha utukufu wako.

Basi kwa kusema hayo, naomba niweke kumbukunbu ya matukio yaliyozunguka maisha yangu mwaka huu wa 2022. Tukumbushane kushukuru katika kila jambo. Sikuzote tuhesabu mibaraka yetu kwani ni mingi mno sema tunafunikwa na upofu kwa kuangalia maisha ya watu wengine na kudhani kuwa wamebarikiwa kutuzidi. Hapana! Mungu anatubari sote kwa jinsi impendavyo yeye kwa wakati wake.

Hizi ni baadhi ya picha tulipiga mwanzoni mwa Dec 2021 tulikuwa maeneo ya tunako ishi karibu na NASA Space Center, Houston, Texas

Baadhi ya picha tulizopiga kwenye Christmas party 20021 iliyofanyika Hilton hotel, Houston, Texas.

2021 THC Thanksgiving Gala
April 2nd 2022

Mwenyezi Mungu alitubariki tukafurahia kuona mwanangu ameongeza mwaka mwingine. Ilikuwa siku ya Jumosi tarehe mbili mwezi wa Nne! Na zifuatazo ni baadhi ya picha ya siku hiyo.

Mama na mwana 😍

Father and daughter moment

We now live in a society where fathers are similar to mothers in providing care to their children. That presence and effort is the start of a bond that is very important between a father and a daughter. It is also the reason why fathers are very influential in their daughter’s lives, especially when it comes to self-esteem and decision making. How a father has impacted his daughter’s life is what helps her as she grows up to be a strong, confident woman! May God bless all great fathers!

Sir O.O Igogo and his daughter, Lawyer, Janeth O.O Igogo (Mrs)

Quote for today:

“It is admirable for a man to take his son fishing, but there is a special place in heaven for the father who takes his daughter shopping”

Quote for today!

Nimependa hii picha ya Kiki na baba yake. Naamini sio mimi tu naweza sema kwa mara ya kwanza kumuona baba yake mzazi Kiki. Mara nyingi nimekuwa namuona na mama yake pamoja na ndugu zake wengine. Wanafanana haswa pua. …….Wamependeza sana ? 

QUOTE FOR TODAY!….
“A man’s worth is measured by how he parents his children. What he gives them, what he keeps away from them, the lessons he teaches and the lessons he allows them to learn on their own. Thankfully, there is no measurement great enough to measure the worth of my father.”― Lisa Rogers

Kheri na furaha ya siku ya wakina baba duniani!

Baba Akinyi na Akinyi wake ?

Kwa kutumia hii picha ya cousin-brother wangu na binti yake, naomba niwatakie kheri na furaha ya siku ya wakina baba duniani  kwa wakina baba wote wenye mapenzi mema kwa watoto wao! Hii ni maalum kwa cousin-brothers zangu wote, kaka zangu wote wakubwa kwa wadogo, na marafiki zangu wote! Mungu azidi kuwapa hekima na busara pamoja na mapendo ya kuweza kufanya kazi yenu kikamilifu! Happy Father’s Day! ?

Father and daughter moment: Sir O.O Igogo and his daughter

“Dear dad, you have been on my mind lately a specially this month”-Foster Mbuna Mkapa

fb_img_1480461403898Dear dad. You have been on my mind lately and especially this month. On this day it would have been your birthday and 30 something years Wedding Anniversary of you and mum. There are so many what ifs but God knows best. These pictures bring back so many memories and I just wish I could talk to you and share a joke or two. You are the best father any child could ask for and I pray to God to make me at least half a parent that you used to be. You taught me so many things but these will never depart in my heart and memory
1. Be kind and humble
2. Be a blessing and a source of smile to those who are less fortunate
3. Love your mother because she endured and sacrificed a lot for your wellbeing. As a mother now I understand
4. Never be too busy for your children
5. Enjoy life, give your best, work hard and don’t be too hard on yourself
I thank you for that advice because it has made me who I am and would not change even if the entire world is against me. It’s very painful that instead of bringing you a cake, card, flowers and take you out for dinner I can only bring flowers to your grave hoping that I can put a smile on your face as you are looking down on us as our guardian Angel. Sleep well my lovely dad just know that you are missed daily and we hope to see you one day! Always on my mind and forever in my heart. My first love, my true love and my best friend. It is well with my soul. A very happy birthday to you! I will always Love you babascreenshot_2016-11-29-17-26-18-1screenshot_2016-11-29-17-26-04-1screenshot_2016-11-29-17-26-45-1Wow! Such a lovely touchy msg to beloved dad!……….my readers here’s a question for you, if you were given a golden chance to tell the world about your dad how you think and feel / felt about him what would you say? ?? May God bless all the good dadies!

Father and daughter moment

screenshot_2016-11-06-08-50-36-1screenshot_2016-11-06-08-33-30-1screenshot_2016-11-06-08-34-48-1

Baba na binti yake: Mtoto wa #Mnyama ni Mnyama tu!

screenshot_2016-11-03-08-45-45-1Princess Tiffah na daddy yake……kweli damu ya mtu haibiwi hata  kwa dawa! Tiffah kafanana na baba yake si kwa sura tu hadi matendo yao!………safi sana!

Baba na binti zake

Screenshot_2016-09-07-08-25-33-1FB_IMG_1472436063790Kama kuna picha ambazo uonekana kwa nadra sana kwenye macho ya jamii, basi picha za mabinti wa Rais mstaafu Jakaya Kikwete! Ni mara chache sana tumekua tukiziona picha zao hata kwenye matukio ambayo ni public wamejitahidi sana to keep their life private mpaka sasa hivi baada ya baba yao kustaafu ndio tunawaona zaidi!!Huyu mdogo naona mama Salma Kikwete kajizaa mwenyewe; wamefanana sana. Na huyu mkubwa kafanana sana na baba yake………….. Hongereni. Inapendeza sana