Category Archives: Lifestyle!

“we all have different tastes, ambitions, lifestyles, etc , your lifestyle & dreams will determine the kind of a man you would like to marry”~~~Akothee Akothee

fb_img_1479852575141It’s a free world , date whoever you feel like , even baboons attract tourist, as long as you are happy , then we should be happy for you, be proud of your Man /woman, we all have different tastes, ambitions, lifestyles, etc , your lifestyle & dreams will determine the kind of a man you would like to marry ??? usisumbue watu akili, gone are days when even parents would choose who you settle down with , today, they can only make noise & adjust to it . Choose your rib wisely, for when it is sweet , you won’t tell us , you will only share with us the challenges! & we will either laugh at you or do very little, fb_img_1479852719471in short LIVE & LOVE YOUR LIFE DONT LISTEN TO THOSE WHO HAVE BEEN SINGLE FOR TOO LONG , THEY ARE TOO SELFISH TO SHARE THEIR EXPERIENCES, but for sure every woman needs someone to hold, laugh, & cuddle Hakuna age kwa hizi

Selena Gomez:”….I had everything and I was absolutely broken inside….. I’m not trying to get validation, nor do I need it anymore”!!

“In 2014, this stage was actually the first time that I was authentically, one hundred percent honest with all of you. I think it’s safe to say that most of you know a lot of my life, whether I like it or not, and I had to stop, ‘cause I had everything and I was absolutely broken inside. And I kept it all together enough to where I would never let you down, but I kept it too much together to where I let myself down. 
0514_selena-gomez-red-dress_400x600
I don’t want to see your bodies on Instagram, I want to see what’s in here (shows the heart).  I’m not trying to get validation, nor do I need it anymore. All that I can say from the bottom of my heart is that I’m so grateful that I have the opportunity to be able to share what I love every single day with people that I love. And I have to say thank you so much to my fans because you guys are so damn loyal and I don’t know what I did to deserve you. If you are broken, you do not have to stay broken.”  screenshot_2016-11-22-12-49-09-1Validation is a real problem with this new era of smartphones and social media! Yani naona hii dunia ya mitandao kama una roho ndogo kama yangu basi ni shida kwakweli! So many bullies kwenye hii mitandao, majaji na mahakimu ambao hawana vyeti wala elimu husika ndo wamejaa kwenye hii dunia ya technology.  Yani kuna watu wako busy kukosoa watu na maisha yao utadhani wao kila kitu ni perfect kwenye maisha yao kumbe mmh! Sasa ukiwa una low self-esteem basi hawa watu watakupa depression bila kutaka wala kujua! Halafu sasa drama zilivyo nyingi then  wanataka wakuhusishe kwenye ma-drama zao zisizo na kichwa wala miguu! Yani hautajua yalipo anzia wala yanapo kwenda ?? Mambo ya timu na mambo ya kutafuta followers ni janga la social media kwakweli! Yani kama hauna self- discipline basi jua rehab inakungoja sana ??…… Binafsi nashukuru sana mwanangu siyo mtu wa social media kiivyo! Yani hata kupost picha zake ni shida! Ndo maana hata humu huwa naweka picha zake mara chache sana.

Mother and daughters moment

screenshot_2016-11-22-13-16-52-1fb_img_1479842379658Raha sana pale watoto au mtoto wako ndio anakuwa rafiki na shabiki wako number moja! Yani ni mbaraka wa pekee kwani kuna wamama wengine mmmh! Wamama wa DotCom yani hata watoto zao wanawakimbia! ??? Yani LB namfananisha na Kris Jenner mama yao Kim Kardashian jinsi alivyo karibu na watoto wake hadi raha!
fb_img_1479842349202
Wamenoga eeh! Wanavutia sana! Hata kama huwafahamu lakini lazima utakuwa unajisikia furaha kuwatizama!…….. Mbarikiwe sana LB na familia yako!

Faida ya kula magimbi!

fb_img_1478665791234Nilikuwa sijui kuwa Magimbi yanafaida sana mwilini! Hivi vyakula vyetu vya #Uswahili japo wengine wana vidharau lakini ndio tiba kwa magonjwa yote yanayo toka na na kula vyakula vya “kizungu” ??  haya ona faida za kula magimbi nipamoja  na

  • Kuimarisha afya ya ngozi yako
  • Kupunguza risk ya kupata ugonjwa wa Kisukari
  • Inaongoza nguvu ya mwili wako kupambana na magonjwa ya kuambukiza
  • Inapunguza hathari za kupata kansa ya mapafu na kansa ya kinywa
  • Inaongeza nguvu ya kuwa na ubongo mzuri wa ufahamu
  • Inasaidia kuongeza damu mwilini
  • Inasaidia kusaga chakula mwilini
  • Kuongeza nguvu au kasi ya macho yako kuona vizuri
  • Inapunguza msongo wa damu……. namengine mengi. Haya kazania hivi vyakula mpendwa kwaajili ya kulinda afya yako!fb_img_1473857436412

*Why are blacks not wealthy*

Shared as received. Read on: *Why are blacks not wealthy*

Excerpts from an interview with a Jewish leader about Blacks. screenshot_2016-11-04-12-55-08-1

INTERVIEWER: Why are blacks so behind Economically?

JEWISH LEADER: The only thing blacks understand is Consumption.

Blacks don’t understand the importance of creating and building wealth.

The fundamental rule is to keep your money within your racial group.

We the Jews
– build Jewish business,
– hire Jewish,
– buy Jewish and
– spend Jewish. There is nothing wrong with that but it is a basic rule blacks cannot comprehend and follow;

“He kills his fellow blacks daily instead of wanting to see his fellow black do succeed”

93% of blacks killed in America are by other blacks.

Their leaders steal from their people and send the money back to their colonial master from whom they borrow the same money from.

Every successful black wants to spend his money in the country of his colonial masters.

They (Blacks)
– go on holiday abroad,
– buy houses abroad,
– school abroad,
– go for medical treatment abroad etc

instead of spending this money in their own country to benefit their people.

Statistics show that the Jew’s money exchanges hands 18 times before leaving his community while for blacks it is probably a maximum of once or even zero.

Only 6% of black money goes back into their community. This is why Jews are at the top and blacks are at the bottom of every ladder of society.

Instead of buying
– Louis Vuitton,
– Hermes,
– expensive cars,
– shoes,
-houses,
-dresses etc, ……

Blacks could
– industralize Africa,
– build banks and get rid of colonial institutions by putting them out of business.

INTERVIEWER: What is your thought on failure of blacks after 150 yrs?

JEWISH LEADER: Well, nothing is ever the blackman’s fault. His
-compulsive habit of killing his own,
– compulsive material consumption.
-His inability to build businesses or
-preserve wealth are usually somebody else’s fault.

INTERVIEWER:  So what can blacks do to liberate themselves

JEWISH LEADER: Blacks must take responsibility. Blacks must unite. And vehemently fight corrupt leaders who run down their country and run to IMF as though IMF is Father Christmas.

They need to look inwards otherwise they will continuously remain colonized and lose their place in history.

Please forward this until it goes round to each country in every continent!! We all need to learn our lessons quick and build our Nations quick!

Source: My friend Rose Ongwela

***Please note! Jackline picture has nothing to do with the story. I just love it so I used it!***

Cheka urefushe maisha: kizazi cha DotCom

fb_img_1477778684824

MASANJA MKANDAMIZAJI: AKILI YAKO UTAJIRI WAKO

MASANJA MKANDAMIZAJI

AKILI YAKO UTAJIRI WAKO:

Laki tano, Mshahara wa Ma-Teller wa Benki hapa mjini Laki Tano, Bei ya TECNO PHANTOM mpya kabisa kwa kujishau Snapchat na Istagram Laki Tano, Bajeti ya Mafuta ya SUBARU mwezi Mzima…. Laki Tano , Bajeti ya HEINEKEN 100 KWA wanywaji wa Pombe… HELA FLANI MBUZI TU ambayo wengi wanaona HAINA ISHU .

Lakini , Laki Tano hii ina uwezo wa kukodi shamba Ekari 13 pale Kiteto au Mpwapwa na ikakutengenezea Million 15 baada ya Miezi MITATU kwa kulima Matikiti maji.

Laki Tano hii hii ina uwezo wa kununua SIMTANK la lita 5000 ( ndoo 250 za lita 20) ambal inaweza kutumika kusolve shida ya maji mtaani kwako kwa kuuza ndoo 1 Sh 500 na ukaingiza 125,000 kwa kila SIMTANK unalouza.

Laki tano hii hii inaweza kulima Ekari 2 za Maharage pale Simanjiro na baada ya Miezi Minne ukavuna si chini ya Million 3 ambazo zitaexpand kilimo chako MARA 6 zaidi ya Mwanzo na Kuexpand Kipato chako mara 6 zaidi ya Mkupuo wa kwanza!

Laki Tano hii ina uwezo wa kulima Matikiti Maji Ekari 2 na zikakupa si chini ya Milion 2 na nusu baada ya SIKU 90!

SHIDA NI: Kila mtu anataka akae mjini AONEKANE SAMAKI SAMAKI, aonekane Muvi Mlimani City, Apost akiwa Escape 1, Apige Snapchat akiwa 777 … Kila mtu anataka aonekane MDARISALAMA… Yuko mjini

MDADA yupo radhi aishi mjini kwa kuuza mwili wake kuliko kwenda Ruaha Mbuyuni Kuinvest kulima Vitunguu… Ataonyesha saa ngapi CROP TOP yake Mpya kutoka YAHYA BOUTIQUE? Sistaduu alime vitunguu?? Hapana, bora atafute Danga la Laki 2 akalale nalo!!

Big Up kwa wadada wote wajanja WALIOINVEST KWENYE KILIMO., kila Jumamosi wakati wewe unaona sifa kwenda HIGH SPIRIT LOUNGE Wadada wenzako wako RUVU wamekodi mashamba wanalima mpunga, unashangaa Huyu mdada anafanya nini kumbe mwenzio analima.

KUDOS kwa wanaume wenzangu ambao wamegundua siri kwamba kuuza Sura hakulipi ma wameinvest Shamba, kila weekend wanapotea kwenda kusimamia nyanya na pilipili Bagamoyo.

Utaendelea kuwashangaa wenzio wanatajirika na kudhani kila mtu anauza UNGA hapa mjini, Kilimo ndio unga mpya… nnadhani mkandamizaji amenuunua ile BMW X6 kwa episode za ORIJINO COMEDY? Thubutu, nenda MBARARI umkute amejaa Matope akipalilia Mpunga wake ndo utajua na wewe kwa nini unapanda Bajaji mpaka fb_img_1477759134699NI HAYO TU KWA LEO MY BALOZI

A measure of a man!

fb_img_1477457094286fb_img_1472436063790Tabia ya mtu utaijua vizuri pale anapo kuwa hana kitu na pale anapokuwa ana pesa! Je binadamu wote kwake ni sawa? Au? ……..Jamani ipo siku nitawasimulia story yangu na experience yangu ya Watanzania hapa Marekani na pia na ndugu ambao hawaoni thamani ya undugu wako kwao mpaka pale wanapoona kuna kitu “kinang’aa” kwako!…….Ee Mungu endelea kumbariki huyu baba!

Kiss cam catches Baraka and Michelle Obama

fb_img_1477318530875

?????????

The 2016 Hottest and Best couple katika ubora wao

fb_img_1476847553372 fb_img_1476847537671 Mbona wewe mzuri sana mpaka unatupa hasira ?? Pendeza sana mama LB……..basi ngoja nikusindikize na hii zilipendwa…….

????  Uzuri wangu wa Tausi mama ?? Maringo kwetu kawaida ?? Wenzangu wananisengenya, nikipita wao hukonyezana eee 

??? Wamesahau kazi zao, kutwa nzima kunichunguza Maringo kwetu kawaida, hamuwezi kunyamaza eeee…….
(Chorus) ??? Hamuwezi kunyamaza, hamuwezi kunyamaza, hamuwezi kunyamaza …..Mpaka mseme kila siku eee
??Wasiwasi wenu wa nini ngoja niseme ukweli….SEMAAaa ?? Mwili wangu mzuri, kila vazi linakubali ? Uzuri wangu wa kuzaliwa/TAUSI , maringo kwetu kawaida
Nikigeuka Utakubali ?? Nikitembea Utakubali?? Nikicheza Mtazimia wasiwasi
 ??Hamuwezi kunyamaza, hamuwezi munyamaza, hamuwezi kunyamaza ….Mpaka mseme kila siku eee…………fb_img_1476847494090fb_img_1476847569150 fb_img_1476847486444Awiiiii!! si kwa mahaba haya ati! Pendeza sana Mr and Mrs Kimesera ❤❤❤❤

Life of a designer

fb_img_1476847407235

“LB NEWS UPDATE: Award winning fashion designer Linda Bezuidenhout was invited to attend the NFL Alumni Georgia Chapter Golf Classic on Oct 17th, 2016 at the Legacy Golf Course at Lake Lanier Islands.
This is an annual event where NFL and other sports legends meet for a Golf Tournament to benefit children. Among the NFL and MLB Legends in attendance where Alphonso Carreker (Green Bay Packers), Sam Horner (Redskins) Todd Burks and many more. Thanks to Doug and Felicia Reid of Venture Sports Shows for the invitation. The event kick off mixer was held at Sutherlin Nissan on Sunday Oct 16th.

Seen in the photos on the left is
Phil Niekro (Major League Baseball Hall of Famer)
On the right is Sam honor
Formal NFL player
Washington red skins”~~~~~~~~ maneno yake Linda Bezuidenhout ………hongera sana Linda zidi kwenda mbele zaidi na zaidi! Amina!

Life of a designer: Miss LB!

fb_img_1476130830995There is no good feeling like when your mission is accomplished. You know, when my husband told me “let’s go to The Atlanta Councours d’elegance this coming Saturday I bought 3 tickets one for @leyla_bezuidenhout I said what’s the Councours d’elegance? He then said “its about old classic cars……. Google it”. I then googled it. Then I said to myself let’s go Vintage since the cars are from that time… Then my mind started spinning designing thinking ??…… In few minutes I got the styles in my mind and created the dresses. I really wanted to give the people a show! And it worked ??????????? everybody loved our attires I saw big lenses from far photographing us ?. I wish I knew all the photographers we might end up in some magazines but we won’t know and they won’t even know that I am the actual designer for these dresses ??.”  Maneno yake Linda Bezuidenhout  a.k.a Kichuna cha Kizaramo fb_img_1476130809493Mmependeza mno! Wote na binti yake nguo ziliwakaa vizuri sana

fb_img_1476130796447Hongera sanaaaaaa LB! Mzidi kwenda mbele siku zote! ……Mungu abariki kazi ya mikono yako!

Nenda kapime: Breast cancer awareness month!

screenshot_2016-10-07-14-19-53-1fb_img_1472436063790Haya wakina mama na wadada wote! Huu ndio ule mwezi wa kuangalia afya za breast zetu ilikuzuiya ongezeko la kansa ya maziwa kwa kina wanawake!……,………Kwakweli sitaki kuwa muongo kwani mie binafsi ni miaka sasa tangu nimepima mara ya mwisho. Lakini mwezi huu lazima nipime! Sijui kwa Tanzania ni sehemu zipi wanapima bila malipo; hivyo nakuomnba uwasiliane na Nancy Sumari ili akupe maelezo yenye uwakika! ?

PLEASE: hii picha ya Jokate nimetumia kwasababu picha ya Nancy ipo hafifu…….. Plus Jokate amevaa pink ambayo ndiyo rangi ya breast cancer awareness!

Foster Collection

fb_img_1475791263888 fb_img_1475791296160-1 fb_img_1475791348845-1 fb_img_1475791357715-1 fb_img_1475791372130-1 fb_img_1475791389329-1 fb_img_1475791573430-1 fb_img_1475791580846-1 fb_img_1475791242779 fb_img_1475791217067 fb_img_1475791195379I love all the dresses zaidi hiyo ya kitenge na kofia yake imenikuna sana!  ❤❤❤

The liver detox juice

screenshot_2016-09-28-09-25-16-1fb_img_1475073029089

Picha iliyonivutia zaidi!

fb_img_1475097554927Jackline Ntuyabaliwe a.k.a mama twins! Kapendeza sana……… I love the way she dresses ❤❤

Manhood

img-20160926-wa0007Sir O.O Igogo, looking good as always!

Lemon Ginger zinger for slimmer belly

screenshot_2016-09-24-23-38-38-1

Happy early birthday Zari!…… Hats off to you mama Tee and Diamond!

screenshot_2016-09-22-16-32-26-1 screenshot_2016-09-22-16-32-36-1Wow!………Happy birthday mama Tee wa ukweli the real bosslady! Wishing you many more countless blessings……….! I’m speechless! Laughing so hard as I know someone people right now their BLoodPressure is going Up & Down!!! Kufa hawafi lakini chamoto wanakiona!! Namacho yao “Wanakodoa kodo wanakodoa”!! #Salome ??? Mnyama umetisha sana mtoto wa Tandale!! ??????

Ugonjwa wa Kansa: Mionzi peke yake haitoshi kutoa tiba…..!

Asante sana Mzee Dominicus Kihwele kwa somo muhimu sana kwetu sote kuhusu ugonjwa wa Kansa! Kwamba tiba pekee sio mionzi tu…

1. Kila binadamu ana seli za kansa mwilini na ili ziweze kuonekana kwenye vipimo na lazima ziwe zimezaliana kwa wingi. Ukipimwa na kukutwa huna kansa ni kwamba vijidudu havijazaliana hadi kufikia kiwango cha kusomeka katika vipimo.

2. Seli za kansa hujitokeza mara 6 hadi 10 katika naisha ya binadamu

3. Kama mtu hana upugufu wa kinga mwilini basi seli za Kansa hushambuliwa na kuzuiwa kuzaliana ili zisilete madhara mwilini

4. Ikigundulika kuwa mtu ana kansa ni kwamba mhusika hana baadhi ya virutubisho muhimu mwilini, na hali hii hutokana na sababu kadhaa kama, kuzaliwa nayo (kurithi), mazingira, aina ya vyakula tutumiavyo au mitindo fulani ya kimaisha

5. Ili kuzuia upugufu wa kinga mwilini ni muhimu kuwa tunabadilisha milo (aina za vyakula),pamoja na kutumia virutubisho kutaimarisha kinga mwilini.

6. Tiba ya Kuchoma mionzi huua ukuaji wa seli za kansa lakini wakati huohuo huua chembe nyekundu kwenye ute ute ulioko katika mifupa na hivyo kuweza kusababisha magonjwa kadhaa kama ya mapafu, ini, nyongo n.k

7. Wakati mionzi inaua seli za Kansa pia huunguza na kuharibu chembe chembe hai nyeupe za ulinzi wa mwili, tishu na viungo vingine muhimu mwilini

8. Matibabu ya mwanzo ya kutumia mionzi hupunguza ukuaji wa seli za Kansa ili zisilete madhara zaidi, ila matumizi ya mionzi mara kwa mara sio mazuri

9. Mwili ukishakua na sumu nyingi kutokana na mionzi, kinga ya mwili huwa imepunguzwa Kama si kuharibiwa kabisa na kusababisha madhara zaidi kwa mgonjwa

10. Tiba ya mionzi ikitumika mara kwa mara husababisha seli za kansa kuwa sugu na hivyo kuwa vigumu kuteketezwa na hivyo kusambaa sehemu nyingine mwilini

11. Njia bora ya kupambana na kansa ni kujitahidi kula vyakula ambavyo havisaidii kuongeza uzalianaji wa seli za kansa

**Seli za Kansa hustawishwa na**

a. Sukari. Yatupasa kupunguza matumizi ya sukari, tutumie bidhaa mbadala kama asali.

b. Maziwa husaidia seli za Kansa kukua

c. Seli za kansa hupendelea mazingira ya asidi hivyo nyama za ng’ombe pia Kitimoto ni changamoto bora kutumia samaki au kuku

d. Kwa asilimia 80 kinga ya mwili hujengwa na mboga za majani na juisi, nafaka, mbegu na karanga, korosho, matunda huusaidia mwili kuwa katika hali ya alkali hivyo seli za kansa hazifurukuti. Asilimia 20 ya vyakula inaweza kupatikana katika vyakula vya kupikwa yakiwemo maharage.

e. Jizuie matumizi ya kahawa, chai na chokoleti kwa kuwa zina kiwango kikubwa cha sumu iitwayo kafeini. Chai ya kijani (green tea) ni mbadala mzuri kwa kuwa ina virutubisho vya kupambana na Kansa

12. Protini ya nyama ni ngumu kufyonzwa mwilini hivyo mabaki yake mwilini hujenga mazingira ya seli za Kansa kujijenga

13. Ukuta wa seli za kansa umefunikwa na pritini ya ukweli, hivyo tukipunguza matumizi ya nyama tunazisaidia chembe hai za mwili kuziharibu seri za Kansa

14. Baadhi ya virutubisho husaidia sana kuongeza kinga mwilini

15. Kansa ni ugonjwa wa akili, mwili na roho. Hivyo juhudi za maksudi za kuwa na imani zaidi husaidia kuondoa hofu.

Hasira, kutosamehe na uchungu huufanya mwili uwe katika hali ya ASIDI ambayo husaidia seli za Kansa kujuinua. Jifunze kuwa na upendo na roho ya kusamehe. Jifunze kutulia na kufurahia maisha.

16. Seli za Kansa hazipendi mazingira yenye hewa safi na ya kutosha ya oxygen , hivyo mazoezi ni tiba pia.

Chanzo: Penny Tenga fb_img_1473857436412Halotel inajali sana wateja wake siyo tu kwa kuwapa mawasiliano ya gharama nafuu bali pia kulinda afya zenu! Hivyo inawakumbusha kujali afya zenu kwa kula vizuri ili tuwe pamoja kwa miaka mingi! ………Halotel has lifetime commitment to serve her customers!