Category Archives: Appreciation

Thank you from Mr and Mrs A. Banduka 

We would like to thank you for all the love and support you have given us over the course of our lives and for being in the midst of this exciting and memorable adventure. We appreciate each of you and recognize your participation. We’re honored that you came to celebrate and witnessed our love and vows to each other. To each and everyone of you, you mean so much to us and we’re beyond thankful to have you in our lives. Finally, to all of those who have given us their time and helping hands with planning this wedding, WE THANK YOU. From the bottom of our hearts we could not have done this without you.

je, upo tayari?! Couple yangu ya kwanza -2015

Nilipo anza ku-blog ilikuwa ni mwezi wa Pili mwaka 2015. Na hii ndio ilikuwa couple yangu ya kwanza kabisa kuichagua kama Hottest and Best Couple of the yr kwa mwaka huo! Nikitu niliamua kufanya kila tarehe 14/2 ya mwaka (siku ya Valentine day) nitatangaza couple moja iliyonivutia ambayo pia naona kuwa ni mfano mzuri wa kuigwa katika jamii! Kama ulipitwa na tangazo hilo tazama hapa ? HottestAndBestCouple-2015

Je, upo tayari kwa mwaka huu?? Stay tuned!!

Wametugusa sana; watakumbukwa daima!

Rais Obama anaweza asiwe the best President in American history. Lakini ni ukweli usio pingika kuwa they were the best 1st family ever!!……..Wamegusa miyoyo yetu, wamebadilisha mitizamo ya familia nyingi kwa kuonyesha jinsi gani family should look like! Mr and Mrs Obama wameonyesha mfano bora wa jinsi gani couple  should respect and support each other for the goodness of the family and your country! Wamekuwa mfano mwema wa wazazi jinsi ya kulea humble children pamoja na kuwa na access to everything they wanted! Wamegusa nafsi za watu wengi sana na kuacha their own legacy kwenye hii dunia! Tutawakumbuka siku zote, Mungu azidi wabariki!

Shukran zangu za dhati kabisa kwa familia ya Aidan na Fina Nyongo!

img_20161216_082326-0My forever gratitude! Yani naishiwa na maneno ya kusema juu ya hii familia! The Nyongo’s Family just know nawapenda zaidi ya Uji wa Kijaluo ?? Guys, you know how much I love you! Nawatakieni safari njema see you in a little while! ???

Shukran zangu za dhati kwa dada Tumaini!

fb_img_1481230613329Bado nipo katika list ya watu ambao nitawashukuru siku zote! Basi dada Tumaini naye ni mmoja wao! Namshukuru sana kwa support yake na upendo wake kwangu. Namtakia furaha, amani, na afya njema haswa tukiwa tunaelekea kufunga mwaka. Namuombea awe na mwaka mpya mwema sana…………. Sikiliza mahojiano yetu kwenye link ?  (DadaTumaini) kama ulipitwa.

Shukran zangu za dhati kwa Bin Zubeiry!

fb_img_1481230749277fb_img_1481230744684Katika watu ambao nitaendelea kuwashukuru siku ni pamoja na huyu kaka yangu Bin Zubeiry. Ni mmoja ya watu walio jitolea kwa moyo mmoja kufanya mahojiano mimi! Nasema asante sana nakutakia siku kuu njema, ubarikiwe siku zote! ………. kuona mahojiano hayo bonyeza ? …..  #BinZubeiry

“Dear dad, you have been on my mind lately a specially this month”-Foster Mbuna Mkapa

fb_img_1480461403898Dear dad. You have been on my mind lately and especially this month. On this day it would have been your birthday and 30 something years Wedding Anniversary of you and mum. There are so many what ifs but God knows best. These pictures bring back so many memories and I just wish I could talk to you and share a joke or two. You are the best father any child could ask for and I pray to God to make me at least half a parent that you used to be. You taught me so many things but these will never depart in my heart and memory
1. Be kind and humble
2. Be a blessing and a source of smile to those who are less fortunate
3. Love your mother because she endured and sacrificed a lot for your wellbeing. As a mother now I understand
4. Never be too busy for your children
5. Enjoy life, give your best, work hard and don’t be too hard on yourself
I thank you for that advice because it has made me who I am and would not change even if the entire world is against me. It’s very painful that instead of bringing you a cake, card, flowers and take you out for dinner I can only bring flowers to your grave hoping that I can put a smile on your face as you are looking down on us as our guardian Angel. Sleep well my lovely dad just know that you are missed daily and we hope to see you one day! Always on my mind and forever in my heart. My first love, my true love and my best friend. It is well with my soul. A very happy birthday to you! I will always Love you babascreenshot_2016-11-29-17-26-18-1screenshot_2016-11-29-17-26-04-1screenshot_2016-11-29-17-26-45-1Wow! Such a lovely touchy msg to beloved dad!……….my readers here’s a question for you, if you were given a golden chance to tell the world about your dad how you think and feel / felt about him what would you say? ?? May God bless all the good dadies!

Asanteni sana the Kakoschke na Kimesera

screenshot_2016-11-27-21-25-56-1Very good msg! Love it!
screenshot_2016-11-27-19-12-55-1Sio kwa mahaba haya jamaniiii! Mnatutesa siye wakina single mama ?? …….Wapendwa ni nyakati za ule muda wa mwisho wa mwaka wa kusema asante kwa watu ambao kwa namna moja ama nyingine wamekuwa mbaraka kwa maisha yako. Basi naomba mniruhusu niseme asante kwa familia hizi mbili. Hawa ni watu ambao siku zote nitawashukuru sana kwani wote wamenipa first experience ya ndoto zangu bila hata kusitita au kuweka vikwazo! Wote walikuwa hawajawahi niona wala nisikia lakini walinipa heshima kubwa sana kwa kutoa muda wao na hata pesa pale ilipo bidi.

Zawadi Kakoschke ndio alikuwa mtu wa kwanza kabisa kufanya naye interview yangu  ya maandishi. Somahapa. Na Linda alikuwa ndio mtu wa kwanza kufanya naye interview ya ku-record  (video taped) tazama hapa. Nasio hivyo tu hawa watu walinipa uhuru wa kutumia picha zao na za familia zao pasipo na pingamizi lolote. Sasa nakaribia mwaka wa pili tangu nifungue blog hii na wamenipa 100% support hadi leo hii. Kwani mimi ni nani hata wanijali hivyo?! Sina cha kuwalipa zaidi ya kusema mbarikiwe milele zote. I love you soooooooo much! Nawatakieni siku kuu njema. Mkabarikiwe katika kila jambo jema mlifanyalo! ❤❤❤

ASANTE SANA ALPHA IGOGO.COM-Peter Sarungi

Na Peter Sarungi (Next Speaker, Baba Pilato)
Na Peter Sarungi (Next Speaker, Baba Pilato)

Dunia ina badilika kwa kasi ya ajabu, katika karne hii ya sasa tunashuhudia mapinduzi makubwa sana ya TEKNOHAMA yaani teknologia ya Habari na Mawasiliano. TEKNOHAMA ni kubwa sana na ilikuwepo tangu enzi na enzi hata kabla ya kuja kwa Yesu Kristu na Mtume Mohammad SAW na ndio maana kuna maandishi ya vitabu vitakatifu vilivyodumu kwa miaka Elfu na Elfu mpaka sasa. Kwa kizazi cha sasa ni ukweli ulio wazi kwamba TEKNOHAMA kwa sehemu kubwa imeegemea kwenye mitandao ya kijamii kama blogs, facebook, tweeter, whatsapp, youtube na mengine mengi yaliyopo duniani. Ukiangalia kwa makini mienendo ya hii mitandao ya kijamii, utagundua kuwa miaka inayokuja karibuni kutakuwa hakuna haja ya kununua magazeti, kusubiri saa mbili ili upate taarifa za habari za maredio na runinga, badala yake Taarifa zote na uchambuzi wote wa habari mbalimbali ngumu na nyepesi utazipata kwa haraka kupitia mitandao ya kijamii. Hivyo kwa wale tunaopenda kuchungulia fursa tunaona uwepo wa fursa kubwa sana katika mitandao ya kijamii. unaweza kutumia mitandao ya jamii kunadi na kufanya biashara mbalimbali, kufundisha, kutangaza na kueleza fikra zako, kutoa na kupokea taarifa na habari, na akaunti yako yaweza kuwa ni press coference yako na ikawa rasmi katika kutoa matamko na maelekezo yako.

Kutokana na fursa hizi ndio maana leo nimeona nimpongeze dada yangu Igogo Alpha aliye wekeza ujuzi na ubunifu wa hali ya juu katika TEKNOHAMA kupitia blogs yake ijulikanoyo kama AlphaIgogo.com
pamoja na hongera lakini pia nikushukuru kwa kuthamini makala zangu na kuzipa nafasi katika ubunifu wako maana nilivyopitia kazi zako nilikuta ume share nakala zangu karibia zote na kunifanya nijisikie kushare fan base yako kupitia nakala zangu. Wahenga wanasema undugu unakolezwa na urafiki, hivyo naona urafiki huu utakoleza undugu kati yangu na dada yangu alphaigogo. Tuendelee kushirikiana kwa kuonyana, kupongezana na hata tukiwa tofauti katika hoja bado tunaweza kukubaliana kutokukubaliana.

#Mytake
kuna haja ya kuwa na Fan base kubwa katika mitandao ya kijamii maana naona kuna fursa nyingi sana kama utawekeza ubunifu kama wa (www.alphaigogo.com) au zaidi ya hapo maana dunia inaelekea huko na hakuna jinsi zaidi ya kufuata fursa zilipo.

asante sana

fb_img_1472436063790Kaka yangu, asante sana kwa kuthamini huu mchango wangu japo ni kidogo sana. Ninachofanya hapa ni kutoka kwa dhati ya moyo wangu na kwa mapenzi yangu binafsi. Sifanyi ili nisifiwe na mtu yoyote yule, lakini hata hivyo siwezi dharau au kukataa kupokea shukrani pale mtu anapo guswa na hichi ninachokifanya. Hivyo asante sana…….. Makala zako zina tija kwangu mimi na ndio maana naona ni vizuri nika share na wengine waone. Naomba uendelee kuzitoa kwa wingi nami nitaziwakilisha!  Natumaini tunaweza kufanya mambo mengi na mazuri pamoja ambayo yatakuwa na manufaa kwa jamii yetu inayo tuzunguka………………….Thank you much. Be blessed always!