Category Archives: Inspirational stories

Je, wamfahamu Pili Hussein?! Wanasema kuwa “HER HUSTLE IS TOO REAL!!”

 "Mwana apollo wa kwanza mwanamke kuanza kuzama chini kuchimba tanzanite migodini Mererani! Anaitwa Pili Hussein lakini alibatizwa jina la Mjomba Hussein. Alilazimika awe kama mwanaume kuweza kujichanganya na wanaume aweze kuchimba madini. Wanawake walikuwa hawaruhusiwi kuzama chini migodini...HER HUSTLE IS TOO REAL!! Ukisikia vyuma vimekaza, hii ndio #vyumavimekaza #kilakitubalaa #inspired #watumpakawanazamachini #sisihukujuutunafanyanini? #badounasubirifursa #mjombahussein" ~~~~~Faraja Nyalandu

***Please note hiyo picha ya Faraja na Pili Hussein ni post ya mwaka jana nimerudia tu!***

Je, umewahi sikia history ya madam Rita Paulsen!

Sasa katika kuchungulia kwangu huko Instagram ili nione nini cha kuwaleta hapa, sinikakutana na page ya Madam Rita Paulsen. Nikaamua kuipiga chabo kidogo ?? Mbali na picha zake nzuri nikaona videos clips mbalimbali, nyingine Charles Hillary akicheza. Basi nikaamua kuitazama kwakuwa ilikuwa fupi nikasema ngoja niende kwa YouTube nikaiangalie zaidi. Dah! Si ndio nakutana na hii interview yake alifanya na Mkasi. Hivi kwanza, Mkasi bado ipo au imekufa? Mimi sijui, hata ile Bongo Star Search sijui kama bado ipo. Au ni mimi ndio niko nyuma ya ratiba ?? btw, mimi ni TV addict! Yani kitu Radio hata sijawahi sikiliza unless nipo kwenye gari la mtu  au nyumba ya mtu that I'm  NOT free enough kusema zima ?? tofauti na mdogo wangu Magreth na dada yangu Elline hawa wawili na Radio huwatenganishi Anyway, back to our story.......Sasa katika kujieleza nikagundua kuwa kumbe naye kama mimi! Alizaa akiwa underage  (only 14 yrs old). Dah! Amenigusa sanaaaaaa! Can you imagine having a baby at 14 yrs old?! Jamani, hivi vitu visikie tu kwa mwingine yasikukute! Kama mimi kuzaa at 18 yrs old, nilichekwa na kudhihakiwa hivi yeye aliyezaa at 14 ilikuwaje!! I feel like I wanna hear more about it! Embu msikilize mwenyewe ?

Sasa huyu Madam Rita, mbona sikusikia akipaza sauti yake kuhusu kauli ya kuzuia watoto waliopata mimba kwenda shule? Akaniacha mimi kidogo nimtoe "roho" mama yangu kipenzi mama Salma Kikwete ?? Madam Rita kama utasoma hapa please we need you to be the voice of the voiceless. Denzel Washington anasema, "don't just aspire to make a living, aspire to make a difference". Tafadhali amka madam. Nimependa your new talk show.  So nice!

Hongera Nancy Sumari na Jokate Mwegelo

God is able. God is able to dream bigger dreams for you, than you can ever dream for yourself. Mungu anaweza. Mungu ana uwezo wa kukunyanyua kwa namna haukuwahi kutarajia maishani mwako. #Amini #Trust #Believe #Thankful #Grateful #Blessed #HappyWednesday #HeIsAble #MIYA100Awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu katika kila jambo, familia, marafiki na Watanzania wote kwa ujumla. Siku zote hakuna mafanikio yaliyokosa changamoto,na ili ufikie kilele cha mafanikio hunabudi kutumia jitihada, maarifa na nguvu zaidi. Na maombi ya nguvu juu bila kusahau heshima kwa wote wakubwa na wadogo. Napenda kuwashukuru wananchi wote kwa ujumla mnaonipa support na kunipa moyo juu ya niyafanyayo. Nikiwa kama mwanamke kijana nimejitahidi kuiinua #Kidoti katika daraja la juu zaidi, ni nyinyi mnaonipa motisha na chachu ya mafanikio yangu, kwa maombi yenu na sapoti yenu kwa hakika nitazidi kusonga mbele na kuwapa hamasa vijana wengi. Wanasema katika kila jambo mshukuru Mungu. Liwe dogo au kubwa, baya au zuri maana kila kitu kina mchango katika kutengeneza wewe unayesimama leo. Nashukuru Mungu juhudi zangu zinazidi kutambulika nje ya mipaka. Sio jambo jepesi kama mwanamke na kijana kusimama katika kile unachoamini na kujitengenezea njia mahali ambapo hiyo njia haikuwepo. Naomba niseme hii ni kwa ajili ya vijana wote wa Kitanzania wanaokatishwa tamaa katika kufuata kitu tofauti na matarajio ya wengi, katika kufuata ndoto zao. Utabezwa ila usikate tamaa, kaza moyo. Maisha ni safari hakuna kukata tamaa mpaka mwisho wa maisha yako duniani. Kuna siku nitazungumzia safari ya maisha yangu kuna vitu vingi sivisemi ila siku hiyo nitavisema ili tu wewe kama kijana na Mtanzania uweze kuhamasika na safari yako katika kile unachokifanya. #BeYou #BeKidotified #MISA100 ???

The Untold: Siku 30 kwenye koma, jela miezi 27, na madawa ya kulevya!?!

Wahenga wanasema ukiona kwako kwaungua basi jua kwamwenzio kwa teketea! Yani kama wewe unafikiri unamatatizo au umepitia shida na vizingiti katika maisha basi kajaribu kummwambia jirani yako akusimulie yakwake! Utabaki mdomo wazi! …….Embu sikiliza history ya maisha ya Wasia Maya jinsi alivyokuja hapa Marekani, mambo yalimkuta na mitihani aliyopitia utachoka mwenyewe! Kuna wakati alikuwa kwenye koma kwa siku 30, kafungwa jela kwa miezi 27, na tamaa ya kufanikiwa kwa njia za mkato ambazo zilipelekea kutaka kuuza madawa ya kulevya!

Yani the devil! Wewe mwenzio katoka kutumikia miezi 27 jela bado tu unamuweka kwa wishawishi vya madawa ya kulevya?!! Lakini kama roho wa Mungu bado yupo ndani yako kwakweli hawezi kukuacha ukaangamia. Atakugusa kwa mguso wa pekee ambao utatosha kubadili njia zako!

“Sasa nina amani……… Nipo comfortable with my life”! Hongera sana kaka Wasia Maya, najua hii story yako itagusa vijana wengi na kuangalia maisha katika njia tofauti. Ubarikiwe sana.

Don’t settle! Ladies learn to wait!

Hongera sana LeMutuz!

Hongera sana LeMutuz, kweli hard work pays off! Umethubutu na umeweza! Nakutakia mafanikio mema, makubwa zaidi ya haya! Hongera

“NI MAJARIBIO TU! TEST ONE! TWO! www.lemutuz.com …yaani Bampa to Bampa….Kaazi juu Kazi U know TWENDE KANYAGA KANYAGA ….hahahahaa……KANYAGA….twende Mbelezz!…TUTAELEWANA TU! – le Mutuz Nation”

“sijataja mutu, kama hayakuhusu usiyasome , kama yatakukera pia pole” ~~~~Akothee Akothee

I can courageously walk into my parents compound and park my big car infront of their house without any guilt. I can slay and travel business class knowing my parents are sleeping in a cool place, I might seem mad to you, but just know this idiot is too sharp and focused in life! Losers will say am proving a point, cowards will say am a ritualists, unlucky ladies will say money from sponsors, lazy men will call me a prostitute for having children & failed relationships. Never mistake knowledge for wisdom! Am too wise to live a fake life, this is me, take me or live me  You are allowed to be proud of your accomplishments and admire your efforts, if you feel am bragging then just wait, I haven’t offended you yet; there is nothing to brag about here, I haven’t arrived in my comfort zone, when I will land there! then you will know ?? that I have surely arrived, the rate at which I will brag ???? even God knows! thats why its taking too long to reach there ????, Even Amerka will know that maskini amepata ???? nitawasumbua mpaka panadol ziishe kwa duka ???? most men carry bundles of money to seduce women in the club, they drive big cars and living in mansions in runda, lavington etc , but have no idea of where their parents live, this kind of men carrying loads of money in clubs don’t entertain me at all, because money stays in the bank or on investements , men with money look broke in the clubs because they know the value of money, this spraying money in clubs are broke niggas, tell them to take you to their village you want to say hi to their parents ?????, sijataja mutu, kama hayakuhusu usiyasome , kama yatakukera pia pole , kila mtu angangane na hali yake

??? Akothee is my girl! Hata mimi hao wanaume wa hivyo hata salaam yangu hapati ?? wenye hela halali wanajua thamani yake and you will tell by how they carried themselves! And those social media addict mmm, gal! Ain’t for me either!…..You made my night!

Hii picha imenikosha moyo wangu!

Kwamnao nijua lazima mtajua jinsi gani huwa naishukuru hii familia. Yani nimekuwa nikitumia picha zao sana mpaka mwenyewe nikaona aibu ?? Ndio maana siku hizi nawaweka mara moja moja ili niwape brake kidogo lakini hii picha imenikuna sanaaaa ikabidi niwaweke tu! What a lovely family! Symbol of UNITE as a family! Yani wanasonga mbele wote hawaachani juma. Sijui mama tu ndio awe "super star" hapana! Wanavutana mmoja baada ya mwingine kila mtu kwa karama yake! And please, let us give Mali a credit! Jamani wanaume wangapi wa Kitanzania ambao wangeweza kuzungukwa na team kama hii with their full energy na kumudu?! Kwakweli anastahili pongezi sana! He is one of the very few best father! Mungu azidi mbariki. Na hii familia izidi barikiwa zaidi ya hapa. ❤ it! Mfano mzuri sana huu wa what should family be! "The Grand Opening of Linda Bezuidenhout Couture Boutique at Phipps Plaza. The navy blue dresses are LB Couture, the Cream dress dressed by Linda's 3rd born Maryam and the Red dressed, dressed by the last born Marlinda are designed by Maryam. Linda's third born has been designing from a very early age she started with doll clothes @fashionadoz." ~~~~ Ms LB

This couple melted my heart!

Awwh! Wamenogaje hawa? Amazing! Yani mpaka mwili umenisisimka! Inapendeza sana mtu na mkewe kupendana ujanani mpaka uzeeni halafu wanamsifu Mungu pamoja, aaaaaah! Safi sana. Kama naona Mr and Mrs O.O Igogo in their 80s ??……..sijui hicho ni kiluga (kabila) gani, lakini inatosha kusema AMEN! Mungu azidi wamiminia baraka zake! ???❣

“Naombeni your support and love kama mlivyoniweka hapa nilipo leo” ~~~~ Idriss Sultan

Nimetoka katika maisha ya kupewa sh 500 kwa wiki, nimetoka katika maisha ya kupigana kujifunza kiingereza kupitia vitabu na movie na kuongea na watu mpaka naonekana labda nimetoka maisha mazuri ila nilikua shule ya serikali kama wengine, nimeambiwa siwezi mengi nimeshushwa nimetukanwa nimekatishwa tamaa nimepigwa nimefungiwa milango ila naomba niseme maumivu yote nimeyaelekeza kwenye kuonyesha upendo tu na kunyamaza kwa mda mrefu miaka miwili sasa nikishughulikia hiki nnachowaonyesha leo. Naombeni your support and love kama mlivyoniweka hapa nilipo leo. Its out of love that we get to do these amazing and great things. Kwa kasi mliyonayo naona tarehe 20 imekua 19 ???... Launch event will be 24th and I am super excited mvione live. Let me officially introduce you to SULTAN SHOES ???.. SultanXforemen walk like a king ?.. @sultanbyforemen @sultanbyforemen @sultanbyforemen #sultanXforemen

“When people can’t be like you. They turn against you. When you refused to be a victim. You become a target.”

Always remember that 60% of those who talk bad behind your back wish to be like you. When people can't be like you. They turn against you. When you refused to be a victim. You become a target. Those who can never be like you will start to condemn you and criticize what you have. The ignorant haters without money will sarcastically say money is not everything.

Is poverty anything ?

Do what makes you happy. But never ever derive your own happiness from another person's sorrow. Because whatever goes around comes back arround. Never allow other peoples opinion determine how you live your life. Anyone who cannot feel your pain has no right to define your happiness in life. Don’t feel too sad when old friends become new enemies. It simply means they are tired of acting painfully as FRENEMIES like FRIENDS. Akin Al-Ameen®™2017

“Put God first in everything you do! Don’t afraid to fail big! Don’t just aspire to make a living, aspire to make a difference!” ~~ Danzel Washington

Sorry kwa msioelewa hii lugha, nakuomba utafute mtu anayeweza kukutafsiria……..Kiufupi katika maisha kufeli shule sio kufeli maisha! Shule ni muhimu sanaaaaaa lakini shule siyo kila kitu! Kumbuka kuwa hizo grade za kufaulu mtihani imewekwa na mwanadamu ambaye hajui Mungu ameumba ubongo wako katika ubora upi! Labda ungekuwa unafanya somo moja moja kila mwezi huwenda ungevuka viwango vyao. Hivyo mtu asikukatishe tamaa kwasababu sijui alipata A katika masomo yake, sijui ana degree ngapi! Mwambie mbona Danzel Washington kaweza, na alifeli college? Mwambie mbona Bill Gates ni tajiri mkubwa hapa duniani na hakumaliza college? Anasema mtangulize Mungu kwanza katika kila jambo, usiogope kushindwa hata kama utashiwa kwa kishindo kikuu, na usiridhishwe na kuishi maisha yako tu bali ridhishwa na kufanya utofauti katika jambo fulani au maisha ya mtu mwingine! ……..Angalia karama yako Mungu aliokujalia ndio uifanyie kazi! Hatuwezi wote tukapanda First class kwani vidole havilingani wala havifanani na hakuna enough space for all of us! Kuna wimbo fulani kwenye kitabu cha Nyimbo za Kikristo (tazama chini) unasema kama huwezi kesha mlangoni ukiwatolewa watu nafasi ya uzima basi kuwa kama Harun muaminifu ambaye alikuwa anasaidia kuinua mikono ya waliochoka, au hata sala na sadaka yako ni huduma / msaada tosha! Hivyo fanya kile roho yako inakugusa na kukupa amani!

107. Nipo Bwana, Nitume 
Hark! The Voice Of Jesus 

1. Sauti ni yake Bwana, “Kwenda, nani tayari” 
Mavuno yanakawia, Nani atayavuna? 
Kwa kudumu amaita, Zawadi atatoa; 
Nani atakayejibu “Nipo Bwana, nitume.” 

2. Kana huwezi safari Hata Nchi za mbali, 
Pana watu karibuni Wasio mjua Yesu; 
Kama huwezi kusema Jinsi ya malaika, 
Waweza kuutangaza Upendo wa mwokozi. 

3. Ingawa huwezi kuwa Mkesha mlangoni, 
Ukiwatolea watu Nafasi ya uzima; 
Kwa sala na kwa sadaka Watoa msaada, 
Kama Harun mwaminifu, Kuinua Mikono. 

4. Roho za watu zikifa, Bwana akikuita, 
Usiseme kwa uvivu, “Hakuna kazi kwangu.” 
Kwa furaha anza kazi Ile akiyokupa, 
Ukajibu mara moja “nipo Bwana, nitume.” 

The Teshas’!

What a beautiful picture! The Teshas’ katika ubora wao! Wamependeza sana! ❤ It!  Quote for today:

“Not only the presence of love fed the life of a family but there’s more to it in reality…”~~~~ Unknown 

Mama Igogo katika ubora wake!

Mama Igogo akifanya yake katika ubora wake, na Tshirt yake ya “I ❤ Halotel”!  This lady can’t sit down ?? Yani ukimuona mama yangu amekaa chini yani kule ku-relax nyumbani absolutely doing nothing but enjoying yourself; basi jua ni mgonjwa siku hiyo ? Kupika aliacha long time ago, rarely utamkuta akipika ila mambo yake ni kama haya analima bustani zake za mboga, viazi vitamu, mahindi, n.k….. Kama hayupo kwenye bustani ya vyakula basi kwenye banda lake wa kuku wa kienyeji, ni shidaaaa! Btw, hapo ni nje tu ya nyumba yake hivyo haitaji dereva kumpeleka shamba ?? Mama yangu was raised with two great human being I have never met before! Babu yangu na bibi yangu mzaa mama walikuwa watu wakarimu mno! Wenye upendo wa hali ya juu, waungwa sana, na wanyenyekevu kupita kipimo! Hivyo simshangai sana mama yangu kuwa hivi alivyo! Namuombea maisha marefu yenye afya njema sana na amani tele ndani ya moyo wake! Huyu ni my niece Sarah! Ni mtoto wa dada yangu Grace-AnyangoNyoyoo, lakini analelewa na bibi yake (my parents). Naona yupo likizo sasa anadeka na kwa bibi na babu ? Missing you mwanangu mie, love you always! Janeth, katoka kwake Mbezi kuja kuchuma mboga kwa mama,  kaiba na ujuzi akaenda kulima kwake ?……… siye wengine kulima hatukusaidii lakini kwenye kuvuna tutavuna na kuvifaidi wote ?? …….. I ❤ my family!

My favorite people in one picture!

My new found mama. She’s such a poser???, so ICONIC. Africa’s Princess @yvonne_chakachaka ?#howmanytimesdoyougettopowderalegend #imeeeeean #rightbeforeshehitsthestage ☺️

Wow! There are some of my very few favorite people, all in one picture!!! I’m smiling like #Zezeta………. Yani utafikiri mie ndio Jojo katika picha, Jojo please kiss her some more just for me ?? ……. Powerful women in Africa right there representing two different generations! Look at that natural beauty #BlackDon’tCrack   ???❤❤

“Hata nikifumba macho sasa nawakumbuka wote walioweka mkono katika safari yangu hata kwa ushauri tu.”~~~~Dina Marios

Katika safari ya maisha yetu kuna namna Mungu aliwatumia watu kutuvusha kutoka sehemu moja kwenda ingine. Pamoja na kupambana na kusherehekea mafanikio mbali mbali tuliyopata wapo watu walituvusha Au kutugusa kwa namna moja ama ingine. Kuanzia mwalimu alokufundisha kwa mara ya kwanza a e i o u...... binaadamu tunategemeana sana ili tuweze kufikia malengo yetu. Hata nikifumba macho sasa nawakumbuka wote walioweka mkono katika safari yangu hata kwa ushauri tu.

Hata wewe hapo ulipo najua unajua wapo waliokuamini hata wakati wewe mwenyewe hujiamini, waliokupa connection flani, waliokufundisha jambo flani, walikupokea kazini kwa mara ya kwanza wakakufundisha kazi, walikukutanisha na watu wakafungua milango ya mafanikio flani n.k

Japo kila siku tunajipa moyo kuwa tunaweza.....  tumefanikiwa......lakini wapo waliotusaidia pia tukaweza kufanikisha.........na pia sio wao ni Mungu aliwainua kwa ajili yako.

Good morning!

Womanhood!

Zari am happy to see you back on business again! God is watching you just keep the faith!…… honey, I love so much how you look, but that ‘BCC’ thingy is just killing me softly, soon I am going to revenge you ?? …… So inspiring! ❤ it!

“We need to be able to tell our own story…….we need to rebrand Africa”~~~~Akon

 

Jamani msinicheke, yani mie my brain ipo very “selective” inapokuja kwenye vitu vya kusikiliza, kutazama, au kukaa…….. Ubongo wangu ukigoma kuwa that’s not for you, basi inatuma msg kwa  hisia / feelings zangu nazo zinagoma kabisaaaa! Ndio maana nasema msinicheke nikiwaambia kuwa leo hii ndio kwa mara ya kwanza namsikia huyu mwanamuziki maharufu aitwaye Akon  kwasababu ni nadra sana utanikuta nikisiliza  hiyo aina ya music anayo imba! Hivi unajua sijui hata wimbo mmoja wa Kanye West ?? at least Jaz najua ule wa “All I need in this life of sin its me and my girlfriend” ?? Sasa kama na wewe ni kama mimi ngoja nikwambie kwa kifupi tu kuwa Akon ni mwanamuziki Mmarekani ambaye asili yake anatoka Senegal. Alizaliwa Marekani, wakarudi Senegal na wazazi wake mpaka alipofika umri wa miaka 7 akaridu U.S.A tena. Lakini pamoja na kuwa maisha yake yamekuwa hapa U.S.A roho yake bado ipo Africa na anataka tuitengeneze Africa yetu iwe kama mataifa hayo makubwa kwani inawezekana. Na jambo kuu la kwanza ni kuanza ku “rebrand” Africa kwa kutumia Waafrica, kulingana na maadili yetu, matamanio yetu, na mtazamo wetu! ………..tafadhali msikilize vizuri kwenye hii video ? kama lugha ni changamoto basi tafuta mtu akusaidie kukueleza…………. kusoma zaidi juu yake na malengo yake nenda ?? (Akon_Africa)

“May you grow to change the world and be there for others.” Millen Magese

May you bring Hope ,faith and Miracles to millions women out there who wishes to hold their children just the way I wished to hold you. May you grow to change the world and be there for others . May you believe in God and own his miracles . As much as life can be tough ,may you learn to be patient, work hard and knowing that ,everything always happens for a reason and every human being has their own path and plans from God for them. Don't ever loose hope . And no matter what happens in your life remember,you have our God Almighty and I will be here always . Father I thank you for making me A Woman and Finally A mother . Father I thank you for bringing my dad back What a gift .jina Lako Lihimidiwe ??? I love you my Son ❤️ And to you godmother @funminewyork . I believed you had a good heart you have been with me for 13 years but Gosh what you have done through out my pregnancy journey is unexplainable. God bless you sis I can't say more . ????? Prince Kairo Michael Magese was born Time :6 .58 am Weight :9 pounds 2 oz Date :July 13 th 2017 . You're my Victorious just like the meaning of your name "Kairo"#AChildWePrayedFor? Glory to God . Dansaki . Asante Mungu Many thanks to Dr Seckin @endofound , Dr Lobo,Dr Gyamfi and the whole team from Columbia Doctors . Many thanks to all my friends and family oooh you guys tried @theojinika @lebogangm @samanthajansen @jimi_mugul .Special thanks to all Endometriosis groups World wide for all you do . We will raise awareness till we find Cure ??.And to you all my supporters thank you , Don't stop supporting us. I believe A cure for Endometriosis is almost here . Support Us???? To Everyone don't you ever forget ,If you knew who walked beside you, at all times, on the path that u have chose, you could never experience fear or doubt again,Have Faith ??Stand on Your Faith ??Change Your Story ??You Can Do It?? Millen Magese ? #PrinceKairo?

“Dear My little Prince Kairo Magese Michael My Miracle Son” ~~~~~~Millen Magese

It's a week since I first hold you in my arms. I'm still trying to absorb the whole thing. This will probably be the longest caption I ever written but please bare with me ?. Through my scars you brought me a Star ⭐️ Jehova you lifted me higher today . Father Lord , I'm acknowledging you for who you're and for what you've done in my life . You Must want to change your story for miracles to work. Miracles happens in such a mysterious way . I wanted my story to change so I prayed harder , I took risks ,bold steps with no fear and sympathy. I kept my faith higher than just HOPE . I believed He would hear me out. Father I thank you ,through me you showed your Power . I'm grateful . Last year around this time I lost an embryo #ZoeKhloe . June 30th 2016 . It was so painful to bare but father Lord you had a plan , you're again showing all of us that ,you're a living God and nothing is permanent. Thank you father Lord for changing my story which you let it happened on the 13th July 2017 ,the same number that have been my history but now you change it with a different story . Thank you for giving me this miracle Boy ??
I have been writing this note since two months before your arrival because I was scared and nervous that I won't have words to say today as I'm holding you in my arms . Dear My little Prince Kairo Magese Michael My Miracle Son! You mean the world to me just like your names . Today the 20th of July , you're exactly a one week old baby and mama is grateful. Without God's plan ,Faith and perseverance I wouldn't be holding you today. As rough as this journey has been , it was all worth it to fight for you ,to cry for you to pray for you ,to go through Hundreds and hundreds of injections,humiliations , pain ,emotions breakdown ,loss , Scars but you chose me to be your mother and God chose me to be your mother. You're truly A child we all prayed for . Im not sure If i deserve to be your mother but all I know it was worth for me to fight to be your mother ,so I will forever be there for you . You're my Son . Am blessed to be your Mother?..........Part1
alphaigogo.com is dedicating this song to Millen Magese, the new born king,  and all women suffering the pain of living with ENDOMETRIOSIS around the world!  Our God is awosome, He is able! Ametenda maajabu ??

Soma post ya nyuma ?? (MillenMagese)