Happy 66th birthday Mama Kachare

2015-10-30 11.56.19Kheri ya siku ya kuzaliwa mama yetu kipenzi, wajina wa mama yangu. Hongera sana kwa kutimiza miaka 66 ya kuishi katika dunia hii. Unapongezwa sana na pia wanamshukuru Mungu sana kwa uwepo wako katika maisha yao kutoka kwa watoto na wajukuu zako wote. Sote tunakuombea maisha marefu zaidi, yalio jaa amani, furaha, na upendo. Ubarikiwa sana. Happy birthday mama!

our very first female Vise President!!

Samia-Suluhu-HassanWhat a joy! Watanzania kwa mara ya kwanza wamemchagua Makamu wa Rais mwanamke! Hili nitukio la kihistoria katika nchi yetu ambayo hajawahi kuwa hata na Waziri Mkuu mwanamke!! Hii ni ishara ya ukombozi wa fikra kwa jamii  yetu kuwa wanawake nao wanaweza! Hongera sanaaaaaa Mh. Samia, najua utalitumikia vyema taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki Africa na watu wake.

Tanzanians have spoken, let everyone say Amen!

FB_IMG_1446129493749

Well, well! It wasn’t an easy race, but finally the people of United Republic of Tanzania have loudly and clearly spoken! Let everyone  say Amen!  Congratulations to the President elect Dr John Pombe Magufuli. People of Tanzania have so much faith and believe in you. You are the change they sincerely need. I hope you will never let us down as you have said before. Many God guide you in every step of the way.

Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki Africa na watu wake.

Furaha ya dunia

FB_IMG_1446079433558Jamani nawapendaje hawa watoto! Niwazurije jamani. Mungu awalinde sana na kuwahepusha na mashetani ya hii dunia. Wanaitwa Oumar na Rouguiatou. Sasa hayo majina tuu yalivyo matamu kutamka hadi raha ? wanaishi kwa Queen Elizabeth. Mbarikiwe sana.

The Kakoschkes’

FB_IMG_1446080753933-1Kwanza nianze kwa kusema happy belated birthday baba Amika. Mr Kakoschke alisherekea birthday yake siku chache zilizopita. Alixungwa na familia yake ambao anawapenda sana na yeye anawapenda sana. FB_IMG_1446080773092-1Naona Malaika yeye kajichokea na kujilaza kabisa. Hapa walikuwa ndani ya treni wakielekea sijui wapi, nimesahau ?? Hawa watu wanasafiri sana. Wanapenda kusafiri na all outdoor adventures. Tembelea blog yao kuona picha nyingi nzuri sana na kujua maisha yao. Nenda wwww.maisafari.com ukaone dunia japo kwa picha.  FB_IMG_1446080733553This Velvet Strawberry cake looks delicious! Yummy!

Hot shot of the day

FB_IMG_1446080664015This is too cute,  hot indeed! Mh. ShyRose Bhanji akiruka toka kwenye boti wakati wakitokea maeneo ya Musoma vijikini wakati wa campaign. Naamini kwasababu sasa kampeni zimeisha basi haita kuwa mbaya kwa mimi kuweka picha kama hii. Kwani hii natambua na ludhamini wasomaji wangu wote bila kujali dini zao, kabila, wala itikadi zao.

Mother and daughter moment

FB_IMG_1446079501126-1Mwajuma na binti yake Rouguiatou. Wamependeza sana. Napenda jina la binti yake japo sifahamu maana yake au asili yake. Mbarikiwe wapendwa.

Hot shot of the day

FB_IMG_1444972060550Ijumaa Kareem wapendwa. Napia nawatakieni maandalizi mema ya Sabato, kwa wale Wasabato wenzangu.

My cutest babysister!

IMG-20151015-WA0000My babysister is cuter  than yours ? and she knows it ?IMG-20151015-WA0001Blessing, you are gorgeous baby gal, Mungu akubariki, na akuepushe na mabaya yote ya dunia hii! IMG-20151015-WA0002Missing you, love you deep ??

Alicia 4th birthday party

FB_IMG_1444964454664Princess Alicia akiwa anameremeta teyari kwa kusherekea birthday yake siku ya Juma Mosi. FB_IMG_1444964465768Alicia birthday yake ni 10/08/ lakini party yake ilifanyika siku ya Saturday kwasababu birthday iliangukia katikati ya wiki. Kusoma post ya birthday wishes yake bonyeza ?   FB_IMG_1444964541077FB_IMG_1444964553667 FB_IMG_1444964512928FB_IMG_1444964558288theme ya birthday ilikuwa ni mambo ya ‘princess’ party ! Pendeza sana 
FB_IMG_1444964853665FB_IMG_1444964847383FB_IMG_1444964576405FB_IMG_1444964478673FB_IMG_1444964525540FB_IMG_1444965426285FB_IMG_1444965456376FB_IMG_1444965416585Alicia you are too cute!  FB_IMG_1444964878026Eddah Gachuma na princess wake. Mziwanda huyu kipenzi cha mama. FB_IMG_1444967332825Princess Alicia na daddy ake. Hongera Vincent ila hapa “Germany shepherd” itahusu sana na fancy ya umeme ?? FB_IMG_1444964969153Mamkubwa naye hakubaki nyuma. Gatty Gachuma na niece yake. Mmependeza sana. FB_IMG_1444967392832Mama na wanawe, mmependeza sana  FB_IMG_1444967379873Hongera da Eddah, umekuza haswa FB_IMG_1444967367909FB_IMG_1444967271793FB_IMG_1444967261662FB_IMG_1444967285688FB_IMG_1444965002235FB_IMG_1444965401920FB_IMG_1444964465768Hongera sana wazazi kwa kumuandalia binti party nzuri sanaaaaaa…………..Happy 4th birthday Princess Alicia. God bless you.

Aika on Breast Cancer Awareness dance

FB_IMG_1444965959370Aika is doing what she does best! An expert when comes to dancing; for sure she got it from her mama; she’s  mini Regina ? 2015-10-15 22.32.22

She is using her talent to show love to those who need it most! This was this week on Breast Cancer Awareness……..God bless you Aika, you are the best.

Happy 70th birthday mzee Manongi

IMG-20151004-WA0001Kheri ya siku ya kuzaliwa mzee wetu Stanley Manongi. Leo hii umetimiza miaka 70 ya kuishi katika sayari hii tulio pewa na Bwana. Umetimiza ahadi ya Mungu kuwa mwanadamu ataishi miaka 70, na zaidi ya hapo ni miaka ya upendeleo  (grace period ) kutoka kwa Mwenyezi Mungu! Pokea na furahia upendeleo huo, kwani unastahili mzee wetu. IMG-20151004-WA0000Tunakutaki na kukuombea maisha marefu zaidi, yaliyo jaa afya njema, amani, upendo, na furaha nyingi mno. IMG-20151004-WA0004Tunakuombea wewe na mama yetu, maisha mazuri zaidi ya haya. Mkapate kufurahia ‘pension’ ya Bwana Mungu pamoja katika amani na afya njema. Ubarikiwe wewe na uzao wako wote. Happy 70th birthday baba yetu. We love you!

Hot shot of the day

FB_IMG_1444803774233-1Hot pic of Mr and Mrs Ngonyani. So lovely! Mbarikiwe sana.

Mother and son moment

FB_IMG_1444803568048Wow! Pendeza sana mama na “jembe” lake la nguvu. Beautiful! FB_IMG_1444803582625Mbarikiwe sana wapendwa.

Kutoka Facebook

FB_IMG_1444803819095-1Nimependa sana hii picha kutoka huko Facebook. Natural beauty, kapendeza sana.

How do you party?

FB_IMG_1444362176925Eddah na wifi yake kipenzi Lulu Saria wakila raha ndani ya Washington DC. FB_IMG_1444362154846Mambo ya casino hayo.  Kama hela yako ni ya “mfungo” kama ya Alpha hapa basi usije kanyaga sehemu hizi ? waachie wenye pesa zao ??  You rock da Eddah. FB_IMG_1444362147905Mtu na wifi yake, raha sana.   FB_IMG_1444362166741-1Wifi yetu mrembo, mcheshi, na mwenye upendo mwingi. Ubarikiwe sana wifi Lulu.  FB_IMG_1444362201012Mwili haujengwi kwa mawe ati! Vyakula vizuri ni muhimu. FB_IMG_1444362211576Eddah na mumewe kipenzi Vincent, yani sharti kwa kudeka.  FB_IMG_1444362226239Wow! Party yoyote ili ikamilike lazima watu waogonge glass ? mmependeza sana

Hot pic of the day

FB_IMG_1444622740531Mwe, huyu ni mdogo wangu kabisa anaitwa Guka. Yani huwa anavituko siku zote. Anyway nimependa haya mapigo na mapozi yake. He looks Hot! FB_IMG_1444622716370hapa anasema number one ni CCM. Team Dr. Magufuli hao. FB_IMG_1444622733627cheka muongeze siku za kuishi ??

Baba na mama Manongi

IMG-20151004-WA0005Mzee Manongi na waridi la roho yake. Wamependeza sana. IMG-20151004-WA0012Mbarikiwe sana wazazi.

Father and daughters moment

FB_IMG_1442500324317Baba na mabinti zake wamependeza sana. Hakuna kitu watoto wakike wanahitaji sana katika kukuwa kwao zaidi ya uwepo wa baba yao / zao katika maisha yao. FB_IMG_1442500331215Upendo ambao mtoto haswa wa kike anao upata toka kwa baba yake unasaidia sana kumpa confidence  na kuweza ku-accomplish  kitu chochote kile. FB_IMG_1442500290334Kazi nzuri sana Vincent, umekuza haswa. Na hongera sana kwa kuwa baba mwema kwa wanao. Mbarikiwe.

Kumbukumbu

IMG-20151009-WA0000

Leo tarehe 12.10.15 umetimiza mwaka mmoja toka ututoke tarehe 12.10.14 katika hospitali ya Muhimbili. Umeacha pengo kubwa katika familia ya Marehemu Philip Ambrose Macha.Unakumbukwa daima na watoto wako Maryam,Mustara. U nakumbuka na  watoto wa dada zako na kaka. Unakumbukwa na dada zako Saum, Maryam, Thanisa, mama wakubwa, wadogo, kaka, mashangazi, wajomba, team Manchester, mtani jembe, wanajumuiya wa Fransis wa exaver,waumini wa kanisa Katoliki la Hananasifu. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe milele. Roho ya marehemu Anna Philip Macha ipate rehema kwa Mungu apumzike kwa amani, Amina.

Naomba nitoe pole zangu za dhati kabisa kwa wafiwa wote, ndugu, jamaa, na marafiki wa Anna, pamoja na ukoo wote wa Macha. Mungu awape faraja na muweze kupata amani katika Bwana wakati mkiendelea kuomboleza cha mpendwa wenu. R.I.P Anna.

Blog