Category Archives: Lifestyle!

Dondoo za kuuweka mwili wako fit

Haya sasa nitakuwa nawaletea dondoo za kujiweka sawa kimwili kutoka kwa watu tofauti tofauti ambao nitaaona kuwa wanastahili 😉 ……….. Haya leo nawaletea huyu dada, kwakweli simfahamu but I normally check her Instagram kwani huwa ananifurahisha jinsi anavyo jiweka Ain’t she cute! Yani mie nataka nipungue but sitaki hatasikumoja kuwa kama “mode” yani mwili fulani kama wa huyu dada na sio chini ya hapo. Halafu simnajua Muhaya anapenda nyama ya mifupa au mifupa ya nyama ?????? inshort kila mtu ni mzuri kwa style yake but wembamba siyo wa kila mtu kama ulivyo unene. Kuna watu wanajikondesha wanapungua hata ukimuaangalia mvuto hakuna kabisa! Na kuna wanene ambao wanapendeza sana na unene wao jinsi walivyo. Just figure out who you are ndio utaweza kujua unataka unene au wembamba. But in all usiwe OVERWEIGHT or UNDERWEIGHT!

The couple we like!

Mwajuma na la-azizi wake wakifanya yao! Wamependeza sana!??

“God did not create us to be the same our”

“God did not create us to be the same our story our category will never be the same there will always be that someone who is more richer more popular more beautiful or more successful … Run your own race at your own pace we all might be travelling same direction but our purpose and destinations would never be the same …….Never ever make a mistake of comparing yourself with one another in life those who evaluate their success based on others people achievements may never see any reason to be happy and grateful ever in life..your present situation is someone else heart desire…..Always remember delay is never denial If God answers your prayers His increasing your faith if your prayers are delayed He’s increasing your patience and if you’re not answered there something better for you and if He keeps you alive He has a better plan for you
#SpokenWithaReason
#positivity” ~~~~~Akinspirational, Akin Al-Ameen

Mother and daughter moment: Mama Essy na Essy

Ain’t they cute! Lawyer Janeth Igogo and her beautiful daughter Essy looking beautiful in a custom made African print dress! Wamependeza sana ??

Womanhood!

“Chasing my dreams,not only for myself but for us because I believe that when my dreams come true yours will too.”~~~~~ JNM

“The man is the head but the wife is not a slave”

“To lead is to serve. The man is the head but the wife is not a slave. A good man leads with fear of GOD. HE will choose to serve his wife rather than ruling her. He will not make critical decisions without consulting his wife. Her happiness will be his priority. He will be consistent in his words and actions and whenever there’s is conflicts, he will never raise his voice or his hand against his woman. He will pray for his woman and pray with her.

A good man also knows that…

The Teshas’ familyi

His woman happiness and love is not based on material things alone. She wants you to listen when she wants to talk. She wants to be sensitive to her feelings and needs. She doesn’t want to fight for your attention. She wants to be spoiled at times and be treated like a queen all the time. Sometimes she wants her breakfast while she’s still in bed. Sometimes she creates pointless drama just to be sure with you she’s neva alone. She wantsto confide in you and believe in you.

A good woman will be submissive and work with her man peacefully and faithfully. She will be reasonable in her demand, considerate with her actions, and patience her reaction. She will talk to her husband rather than talking about him. Whoever makes more income shouldn’t be a problem. In a good matrimonial home there is no such thing as competition because the 2 must become 1. If someone faster person must be ready to slow down for the other person to catch up. Both couples must peacefully and happilly walk at same pace and put GOD first in all they do.” ~~~~~~ Akinspirational (Akin Al-Ameen)

***Please note, Tesha family picture has nothing to do with the story****

My weight loss journey has begun!

Well, well! My long overdue goal / journey sasa nimelivalia “njuga”! Jana tarehe 2, May, 2017 ndio nilianza rasmi. Nafikiri ni fair nikisema kuwa kilicho kuwa haswa kinanizuia kurudi katika uzito wangu wa miaka ya nyuma ni nilikuwa na a lot of personal issues going on ambazo zilikuwa zinaniongezea a lot of stress in my life! Yes, mie ukiniona naongezeka is more of stress issues na siyo vyakula kama baadhi ya watu wanavyo fikiria. But, I thank God now I’m in a very-very better place na naamini this time everything will be under control!!

 Malengo yangu ni ya mwaka mzima; hivyo nafuata taratibu za kiafya za kupunguza uzito wa mwili. Situmii dawa wala supplementary diet medicine ya aina yoyote! Ni mazoezi na kuzingatia nini nakula na portion gani. Mimi napenda sana smoothie? hivyo ili kuhakikisha napata virutubisho vyote vinavyo hitajika mwilini basi natengeneza smoothie za green (kama mixture ya mastafeli (sour sop), spinach / kale green, jinger kidogo, na organic unsweeten coconut milk au cashew nut milk) zingine ni kuongeza damu na calcium mwilini kama mixture ya beets roots, carrots, na a little bit of mandarins orange!……Btw, mimi napenda kutengeneza smoothie angalau za siku mbili hivi na huwa nakunywa na mwanangu. So msifikirie kuwa hilo jagi lote ni langu kwa siku moja ?? hapana! Plus bado nakula chakula mchana hizo ni morning starters na usiku tu! Well, kama nimeamua ku-share nanyi my weight loss journey basi sioni sababu ya kuwaficha my current weight! Kama mzani inavyo someka hapo juu kwa sasa nina pound 225 ?? Kulingana na urefu  na umri wangu natakiwa niwe na pound 140! Hivyo natakiwa kuondoa takribani pounds 80 ?? Je nitaweza? Naamini nitaweza! Nimejiwekea malengo ya mwaka mzima! Nitafanya juhudi zote nifikie malengo, but kama sito fika siyo mwisho wa maisha! Maisha yataendele kama kawaida! Kikubwa ni kuendelea na program yangu bila kuchoka!  Nitakuwa napima uzito kila wiki na ku-share nanyi hapa kwa blog hii! Kama nikipungua wiki hiyo basi nitamshukuru Mungu! Nakama sijapungua basi napo namshukuru Mungu and the journey continues!………Naomba ieleweke siko hapa kushindana na mtu yoyote yule!! I do me and you do you end of story!! Nafanya mambo au vitu kwa style yangu mimi na uwezo wangu mimi! Ukiwa inspired basi ni ruhusa kuniiga but am not going to sit here telling you what you should do with your body or life! And I expect you to do the same to me! Fanya yako!

Harmonize! Harmonize! Thank you So Much For This song! Yani huu wimbo keeps me moving like crazy!! Ukinikuta kwenye treadmill navyo cheza mwe! Yani nasikia mafuta ya tumbo yanakatika ??? such a nice song kwa mazoezi!…….Myweight loss journey has begun ??Mengine namwachia Mungu ??

“The only advice you can get from a fool is a foolish advice.”

They told her to leave her husband because she’s worth more than him. They told her she’s beautiful and successful, that a woman of her standard deserves a better man with a better job income and personality . She listened to them and abandoned her home. Ts been over 7yrs since then and she’s still looking for a better man that matches her standard. The funniest part is that those friends who told her to leave her man are still with thier own husbands, doing everything possible to save their homes. Be very careful from who and where you take your relationship and marriage advice. The only advice you can get from a fool is a foolish advice. Anyone who recommends divorce or break up to you at every slight argument with your partner is an enemy that appears like friend.

A lazy man and a poor man are never the same. If a man doesn’t have today does not mean he will be lacking for life. As long as he’s GOD fearing, loving, caring and appreciative of your efforts you don’t have to worry yourself. There are only two ways to regret in life. BEFORE AND AFTER. Those who choose to regret later may regret for long. A woman who choose never to be patience for a while might ends up enduring for life. Marriage is not a bed of roses. Don’t get carried away by what you see, some marriages and relationship are just like a reality show of make believe.

Behind every beautiful family pictures is an untold story of agonies and pains. If you want a husband like Obama you must be ready to be a wife like Michelle. ~~~~~~~~ Akin Al-Ameen®™2017

 

***The Ladies picture has nothing to do with the story! Nawapenda kwani wanajitambua!***

“If you aren’t prepared to carry her heels when she’s tired, then you shouldn’t be next to her when she’s in the spotlight”

DEAR MEN,

Sometimes it’s not just about opening the door to let her in first, any guy can do that when he knows that there’s people watching – just for the sake of the credit. Rather make sure her seat belt is on before you start driving. Sometimes it’s not about walking her down that isle where there’s a lot of people just because you want everyone to notice her and she’s looking fancy in her heels. You feel proud to be with her, yes but you also need to appreciate her effort. Walk her down a route that is comfortable with her, that’s less painful and less risk of her actually getting injured. If you aren’t prepared to carry her heels when she’s tired, then you shouldn’t be next to her when she’s in the spotlight. The strength of your bond should never be determined by the number of likes that your pictures with her actually receive on social media. You should never let the opinion of a friend determine whether you spend your life with her or not. We don’t often choose who we fall in love with, it just happens. You then realize loyalty is no longer an option. You begin to plan things in your head with her. All those love songs that you’ve always hated start to make sense to you. No matter how much of a tough guy you claim to be, she has tamed your soul without you actually noticing it. You begin to talk about her unknowingly to your friends, you think about her as soon as you wake up, during the day and before you sleep. When she starts to tear, you shouldn’t offer her something to wipe it off rather remain with her and let her know she’s not alone, hold and let her know that she has someone to fall back on. It’s not about only being with her on special occasions just to make her feel special in front of the world. It’s about being with her even when no one is watching. At the end of it all, it’s not about how much time she spends with you, it’s about the feeling you get every single time you see her name popping as a notification on your phone… Yes, it’s that same person you’re thinking about right now!

*** Credit to Get Inspired by T_Sha****

***Please note: Jojo’s pictures has nothing to do with the story. She’s cute and I love her thus why I shared her pictures***

Father and son moment: The Teshas’

Manhood! What an amazing picture of JT and his son! Just lovely!……mbarikiwe sana!

“If you have to prove it means you really don’t have it. The grace of GOD doesn’t come with stress.”

If you have to prove it means you really don’t have it. The grace of GOD doesn’t come with stress. If you must go through stress to get attention means you are fooling yourself. When GOD makes you a star you will never struggle to shine. If you have it flaunt it, but if you don’t have it then stop living in pain. Fashion police is equal to mental slavery. Stop going through stress just to be in vogue you can never be faster than life. The antics of today were once upon in vogue. Wear what looks great on you, those who loves you will accept you for who you are. Stop spending the money you don’t have to oppress the people who don’t really matter in your life. Those who truly matter don’t care as long as you’re not walking naked on the street. The only way to cut your coat according to your size is to know your real size. BE HONEST WITH YOURSELF. There’s no point in wearing expensive designer shoes and then you start walking like SHREK painfully in debts. The greatest form of slavery is a mental slavery, to be prisoner in your ownn soul while the greatest follishness is to fool yourself, like the blind man who pretends to be sleeping by closing his eyes. Stop trying to fit in to the status you don’t belong, that’s why shoes come in diffrent sizes. Friendship is not a do die. If you must beg people to accept you for who you are means your self esteem is dead. A low self esteem can be cured but there’s never a remedy for a NO self esteem. If their class is too high CHANGE YOUR SCHOOL. Age has nothing to do brain. Growing up and growing old are never the same. Growing old is a mandatory while growing up is optional by choice. Until you fully learn and understand the art of standing alone, you may not have any stand in life. “~~~Akin Al Ameen®™2017

***picha za  Mengi’s family has nothing to do with the story. Nimezipenda tu***

“Don’t underestimate your dream”- Jackline Mengi

Btw, lile tangazo la Amorette is one of very few best Ads in Bongoland! Kudos to Jackline and your team!

“Wenye mioyo na fikra za upendo hubarikiwa zaidi”- Jackline Mengi

Ukichagua upendo kuendesha maisha yako utaishi kwa furaha na amani sana kwani utaonyesha upendo,utazungumza maneno yenye upendo,na utachagua upendo katika kila jambo,hata pale penye mchanganyiko wa chuki na upendo utachagua kuona upendo na kupuuza mengineyo.Siku zote wenye mioyo na fikra za upendo hubarikiwa zaidi na hiyo ndio siri ya maisha.

“I spread love babe and that’s why am tooo blessed.Try it!”-Zari the bossLady

A woman will give you all the physical attention you want if ……!

Thank you from Mr and Mrs A. Banduka 

We would like to thank you for all the love and support you have given us over the course of our lives and for being in the midst of this exciting and memorable adventure. We appreciate each of you and recognize your participation. We’re honored that you came to celebrate and witnessed our love and vows to each other. To each and everyone of you, you mean so much to us and we’re beyond thankful to have you in our lives. Finally, to all of those who have given us their time and helping hands with planning this wedding, WE THANK YOU. From the bottom of our hearts we could not have done this without you.

The most attractive quality any man could have is integrity!

Jojo and the Carters’!

Awwwih! Umesoma hiyo caption?! Isn’t that something! Nilisema last year around October or November kuwa Jokate is our “Princes Diana” she is going to be big kuliko unavyo fikiria and conquer the unconquerable! Keep on shining Jojo vijana wa Tanzania na Africa wanakutegemea sana. Show them the way!  We love you!Wow! Mungu ajalie kheri tu kwani tunawakaribisha kwa mikono miwili!

2017-Hottest And Best Couple Of The Year!

Mr and Mrs Joseph Musira ndio Hottest And Best Couple of the Year!……Sababu haswa ya kuichagua hii couple kwanza nimeamua kwa mwaka huu ni enzi wazee wetu. Pili miaka 53 ya ndoa si kitu kidogo lazima kiheshimiwe! Napia ni kwasababu wanastahili!!……Basi ifuatayo ni historia yao fupi ambayo nitaieleza kwa kutumia picha zao za sherehe ya miaka 50 ya ndoa yao (Golden Jubilee of their wedding) ambayo ilifanyika huko Musoma, Mara miaka 3 iliyopita! Sherehe hiyo ilianzia kanisani ambapo walibariki ndoa yao na kuvaa pete ya nadhiri ya miaka hamsini!…….Haya furahia picha and Happy Valentine’s Day to you all! Maombi na kiapo yakiendelea ……….. Mr Joseph Musira na Felister Awiti wao ni wazaliwa wa mkoa wa Mara. Walikutana kwa katika kijiji kimoja kijulikanacho kama Kowak katika wilaya ya Rorya mkoani Mara. Felister yeye ni mzaliwa wa kijiji hicho cha Kowak akiwa ni mtoto wa kwanza wa mzee Cornel Awiti. Wakivishana pete baada ya ndoa kubarikiwa!…….Mzee Joseph Musira yeye ni Mwalimu kwa taaluma; hivyo wakati alipokutana na Felister alikuwa ni Mwalimu wa Kowak Middle School ambayo ipo chini ya missionary ya Wakatoliki. Kwasasa shule hiyo imebadilishwa na kuwa secondary ya wasichana ijulikanao kama Kowak Girls Secondary School ambayo mimi nilikuwa ni miongoni mwa wanafunzi walio fungua shule hiyo kwa mara ya kwanza. Mdogo wangu anaye nifuata kuzaliwa naye alisoma hapo! Picha ya pamoja na viongozi wa Diocese ya Musoma ambapo mzee Musira amekuwa mtumishi wao mpaka leo hii! Alianza kwa kufundisha kama Mwalimu, baadaye alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa shule zote za mkoa wa Mara ambazo zinamilikiwa na kanisa Katoliki mkoani humo! Ali stahafu akiwa katika cheo hicho zaidi ya miaka 5 iliyopita, lakini kwa uwadilifu wake na maadili mema kazini walimuomba kuongoza charity organization ambayo ipo chini la kanisa hilo hapo Mwembeni street, Musoma. 

Cheti kiki kabidhiwa toka Vatican kwa Papa!….. Furaha iliyoje! Wakielekea ukumbini kwenye sherehe!…..Kama nilivyo waeleza hapo mwanzo kuwa Mzee Musira alikutana na bibi Felister katika kijiji cha Kowak akiwa Mwalimu. Basi naye bibi Felister alikuwa ni Registered Nurse katika hospitali ya Kowak Mission ambayo nayo ipo chini ya missionary ya Wakatoliki. Ambapo pia baba yake mzazi bibi Felister alikuwa akifanya kazi kama Clinical officer katika hospitali hiyo…….Miaka miwili baada ya wapenzi hawa kukutana waliamua kufunga ndoa, kula kiapo kitakatifu mbele za Mungu na uso wa dunia! Hapo ilikuwa tarehe 12 / September / 1964! Kama mnavyo jua kuwa maswala ya kuoa katika familia za Kiafrika si kitu cha mchezo kama wenzetu wa dunia ya Magharibi ambapo wapenzi wanaweza kuwataharifu wazazi wao kupitia Facebook, text msg, Tweeter, na Instagram kuwa wao wamepanga kuoana siku fulani na wazazi wakafurahia kabisa kwa furaha kuu! Hapana, ndoa ni agano takatifu lazima liheshiwe sana kwa kufata taratibu maalum za kimila na kidini! Basi ndivyo hivyo kama wafanyavyo wengine naye alifanya! Mzee Musira alifata mila za Waluo ili kuweza kumchumbia na kumuoa bibi Felister! Yeye aliambiwa atoe mahali ya ng’ombe 12 na pia amjengee mama nkwe nyumba ya mabati ya vyumba vitatu na sebule! Awwwh! Huu ukoo wa Awiti siyo watu wa sport sport ati 🙂 🙂 🙂  Si mnajua kuwa bibi Felister alikuwa msomi (Registered Nurse) wa nguvu 🙂 🙂 hivyo baba mtu hakutaka mchezo na binti yake! …….Ukisikia “mapenzi mubashara” basi haya ndo yenyewe kwani mzee Musira alitekeleza hayo masharti yote bila pingamizi! Hiyo nyumba ndio mama mkwe wake aliishi mpaka mauti ilipo mkuta mwaka 2014! Tutakiane mkono wa amani mpenzi wangu, tumetoka mbali sana. Asante sana kwa “mapenzi mubashara”…..,hayo yalikuwa maneno matamu kabisa kutoka kwa mzee Musira kwenda kwa la azizi wake bibi Felister ???   Champaign zikifunguliwa na watu wenye nyuso za furaha kabisa! Aliye vaa vazi la kitenge ni mdogo wake bibi Felister aitwaye Anna Cornel au Mrs Obure. Yeye ndiye anaye mfuatia Felister, ni Mwalimu mstahafu hapo Musoma. Baada ya kufunga ndoa bibi Felister ilibidi ahame kwenye nyumba aliyopewa kuishi kama nurse mkuu hapo mission na pia alibadili jina lake la mwisho kutoka Awiti kwenda Musira. Hapo ndipo walifanya maamuzi ya kuhamia Musoma, na miezi michache baadaye mzee Musira alipelekwa Germany kuongezea utaalamu zaidi katika fani yake! …….Waliishi Musoma kwa miaka kadhaa na baadaye mwaka wa 1970 waliamishiwa Moshi ambapo waliishi kwa zaidi ya miaka 10 kabla ya kurudishwa tena Musoma……. Mr na Mrs Musira wao wamebarikiwa kupata watoto 6. Watatu wa kiume (Musira, Gerald, na Peter) na watatu wakike (Eddina, Yasinter, na Neema). Eddina a.k.a Eddi yeye ndio mtoto wa kwanza na Neema ndio wa mwisho! Kwa bahati mbaya kijana wao aitwaye Peter yeye alisha lala usingizi wa mauti; hivyo hayupo nao tena! May his soul continue to rest in peace!Mungu pia amewajalia kupata wajukuu wanne! Wakiume watatu na wa kike mmoja!  Wakinyweshana kinywaji maalum cha siku hiyo Mahaba mahabani! Kama walivyo shikamana siku ya kwanza pale Kowak basi ndivyo watakavyo shikana mikono yao mpaka mauti itakapo watenganisha! Waki kata keki kwa upendo na furaha Nilishe nikulishe ndio ishara ya upendo Mungu ni pendo. Penye Mungu kuna upendo mwingi na furaha isiyo elezeka! Hapa siongelei tu ndoa za “maigizo”, zile ndoa za ku-show off picha kwenye mitandao ya kijamii wakati ndani ya nyumba zenu wengine hawahemi! hapana! Naongelea real marriage, real commitment, honoring your vowels!!………. Miaka 53 ya ndoa hakuna michepuko wala mtoto wa “bandia”! Jamani, inawezekana!! These are real people in our communities; nina huwakika wapo wengine wengi tu!………Ee Mwenyezi Mungu endelea kumimina baraka zako kwenye hii ndoa na familia yao, Amen!

Couples we like!