Category Archives: Lifestyle!

Beautiful twin brothers marry twin sisters!

Story nzuri ya kuvutia ya maharusi mapacha ambao walioa siku moja na mabibi harusi ni mapacha! Wakaka hawa ambao ni mapacha walikutana na wadada warembo wawili ambao nao ni mapacha katika shughuli za kujitolea wakati wa tetemeko la ardhi huko Haiti! ....Mapacha hawa baada ya kupendana kwa muda siku moja wakaamua kuwavika pete ya uchumba warembo wao. Na sasa wamefunga ndoa katika kanisa moja siku hiyo hiyo!.........Matukio kama haya yanayokea sana kwa baadhi ya twins! Kuna wengine niliona hapa Marekani kwenye show ya Dr. Phil wao pamoja na kuolewa siku moja (japo wanaume tofauti) lakini kwa mara mbili wakajikuta wanapata mimba kwa wakati mmoja na uzao wao wa kwanza walikuwa mapacha! Very interesting! 
Weddings are always beautiful moments to remember but for two special couples, the big day was monumental for a number of reasons. According to WOW Amazing, Eric and Shawn Crow had no idea what they were in for when they volunteered at their local church. Apparently, the pleasure of helping others wasn’t the only gratifying thing about the experience. They also crossed paths with two very special women -Teyolla and Keyolla Loux. The Men Of Their Dreams: While volunteering at the church, Teyolla and Keyolla noticed Eric and Shawn first. Although they were instantly taken by the two handsome young men, they initially didn’t believe they had a chance because the guys were older. In fact, Teyolla and Keyolla actually lost contact with the guys for about three years as they spent most of their time volunteering all over the country. But, then fate led them all to Haiti. They all attended a special class to prepare volunteers for work after an earthquake in Haiti. After meeting again, they went on a double date and the sparks began to fly. Tying The Knot: After a whirlwind romance, Shawn popped the big question to Teyolla, but to their surprise, Eric also proposed to Keyolla. Since they all met together and the proposals took place simultaneously, they agreed it would only be befitting that they tied the knot on the same day. Remember…Love has the power to heal or kill… Always proceed with caution! In fact, the two girls – who were adopted by their foster parents Derek and Reneé Loux – even invited their birth mother to partake in the preparations for their big day. The ladies wore identical strapless gowns to marry their best friends. The couples celebrated their big day with a host of family members and friends. Congrats to Shawn and Teyolla and Eric and Keyolla 

Read more at:WhenLoveWasReal 

“Mungu ni mwema”-Mrs Mengi!

Yes my dear, Mungu ni mwema wakati wote! Wakati wote Mungu ni mwema! Enjoy your life Mrs Mengi, and say hello to my Billionaire friend ?? We love you mama na baba wawili ? " when you have something good you don't play with it. You don't take chances with it. You don't take risk with it. When you have something good you give every single thing you can because when you take care of something good that something good takes care of you" 》》》》Michael Baisden

Baba na mama Cookie katika ubora wao!

Mwawaona eeh! Baba na mama yake Cookie, Mr and Mrs Mose Iyobo wa ukweli wametokelezea kweli kweli! Hii couple ni ya ukweli ni nzuri sana, mfano mzuri wa kuigwa kwa vijana wa taifa hili la leo!......Mbarikiwe sana! ??

 

Pete ya ndoa ni pingu ndogo, chagua mfungwa mwenzio kwa makini!

Mr and Mrs Mali Kimesera katika ubora wao! Wamependeza eeh! Hadi raha sana! Wamechaguana, wakawezana!............... Sasa ninekutana na hii msg nikaipenda:>> Eti kuwa pete ya ndoa ni pingu ndogo sana ambayo ni ya umilele hivyo tafakari sana. Chagua mfungwa mwenzio kwa makini na ujihukumu kwa busara ili kuhepuka  kutoroka gerezani! ???? #ChapterClosed  >>>>>>> "Wedding rings are the smallest handcuffs ever.  So think deep. Choose your prison mate carefully and sentence yourself wisely to avoid any prison break." Bishop Larry Boyd

your lifestyle & dreams will determine the kind of a man you would like to marry ~~~Akothee Akothee

fb_img_1479852575141It’s a free world , date whoever you feel like , even baboons attract tourist, as long as you are happy , then we should be happy for you, be proud of your Man /woman, we all have different tastes, ambitions, lifestyles, etc , your lifestyle & dreams will determine the kind of a man you would like to marry ??? usisumbue watu akili, gone are days when even parents would choose who you settle down with , today, they can only make noise & adjust to it . Choose your rib wisely, for when it is sweet , you won’t tell us , you will only share with us the challenges! & we will either laugh at you or do very little,fb_img_1479852719471in short LIVE & LOVE YOUR LIFE DONT LISTEN TO THOSE WHO HAVE BEEN SINGLE FOR TOO LONG , THEY ARE TOO SELFISH TO SHARE THEIR EXPERIENCES, but for sure every woman needs someone to hold, laugh, & cuddle Hakuna age kwa hizi

Wema Sepetu katika ubora wake!

Wema Sepetu katika ubora wake! Vazi limemkaa haswa aaa! Kapendeza sana! My dear Wema naomba leo nikushauri, unajuwa wewe ni our Sweetheart! Tunakupenda sana na kukutakia mema! Naomba usichukie kuhusu ushauri wangu kwani unatoka from a good place of my heart, na pia sio lazima uhufuate unaweza ukasoma na ukauwacha kama ulivyo! Na ninakuhakikishia bado nitakupenda bila kinyongo! …… Wema sikiliza: 《1》Hii karne ya 21 kuzaliwa mzuri tu haitoshi! Wewe ni mzuri sanaaaaaa! Lakini unamengi ya ku-prove ili umpate yule mume / partner unaye stahili kuwa naye KAMA KWELI HILO NI HITAJI LA MOYO WAKO!

《2》 Achana kabisa na watu /fans wako ambao saa zote wanakueweka katika muonekano wa “mashindano” na mtu fulani haswa Zari, wakati Zari got no time for nobody yani yupo busy na maisha yake! Wewe ishi maisha yako bila kupigizana kelele na mtu! Au kuweka mazingira fulani yanayo onyesha some sort of competition! Kumbuka mtu yeyote yule ambaye anataka kushindana na mtu jua huyo mtu teyari umesha mzidi ndio maana anataka aku-drug down to  his /her level! Always choose “highway” na sio mashindano! 《3》Ngoja nikwambie ukweli, wewe na Zari wote ni wazuri sana tena to be fair labda niseme wewe umependelewa zaidi na figure kuliko Zari! Hata hivyo any man ambaye ni potential au well successful will absolutely pick Zari over you! Unajua kwa nini? Zari has proven herself kuwa (a) she knows what she wants in her life! And happiness is her number one priority! Na ndio maana aliamua kuachana na marehemu Ivan Ssemwanga na kuwa na Diamond! She prefers happyness over money (b) Zari has proven kuwa she can make her man to be the best of all! She did that twice! Kwa marehemu Ivan Ssemwanga na sasa kwa Diamond! Ndio, unaweza sema ulimpenda Diamond akiwa bado “Nasib Abdul” but mdogo wangu, wenyewe wanasema hivi “a man with dreams need a woman with vision”! Na hapo ndipo Zari alipokupiga bao! You knew Nasib’s dreams but you didn’t have VISION to take Diamond where he needs to be! Plus badala ya kuwa team player ukawa kama una compete na Diamond; kumbuka zile kauli kuwa “anatembelea nyota yako” toka kwa mashabiki wako na watu wako wakaribu! Zari aliacha yote kumjenga Diamond at least for the first two yrs ya relationship yao. Building Diamond ikamsaidia kujiendeleza na yeye pia kwa ku-expand her empire in Tanzania. Wakati alionekana kama amepoteza Dira ya maisha  kwenye macho ya watu wenye mtazamo finyu lakini kwetu sisi wengine tulijua Zari is going to surprise them big time and she surely did! Kumbuka nimekwambia kuwa Zari nia yake ni kuwa na mwanaume ambaye will make her happy, and that is what exactly Diamond is doing! Spoiling her right before your eyes! Pia angalia Ivan Ssemwanga, pamoja na yote bado Zari alikuwa ndio Kimbilio na tegemeo lake! Kitu ambacho wewe mpaka dakika hii pamoja na kuteka people’s heart but none of them can trust you with their “treasure” or legacy! (c) Zari has proven kuwa she is not only a great partner but  she can hold down a family as well! She’s strong, has good family values enough to make her own family kitu ambacho wanaume wengi waliofanikiwa wanapenda kuwa nacho! Na hapa siongelei kuwa na watoto kwani watoto ni mipango ya Mungu! Ninacho kisema hapa nikuwa “grounded” enough to make someone’s house a family friendly place ambapo mtu kama Dr. Mengi atakuwa excited, and proud enough kusema I’m going home na once in a while kuwaita some of his friends for dinner! Mpaka sasa kwa hili mdogo wangu Wema, umefeli kabisa! Siku zote waliokuzunguka mmh! only God knows who they are! Embu jifunze kitu kutoka kwa aunt Ezekiel! 《4》 My dear Wema, achana na kutafuta attention zisizo na kichwa wala miguu! Don’t let them losers and fools use you my dear! Kama kweli you want to have that potential man holding your hand then you need to prove kuwa you are a woman of character! Make your man feel secured kuwa hayupo kwenye “competition” with another man! Yani kuwa akija mwenye hela zaidi yake he’s out of the league! Hii inaweza ikawa ngumu kunielewa lakini mpaka utakapo elewa hichi ninacho kwambia basi tegemea kutumika na wanasiasa pamoja na wenye pesa za “mission-town” ambao wanatafuta kuandikwa kwenye magazeti ya udaku!

《5》 Kama nilivyo sema kuwa you’ve  a lot tu-prove na kitu kingine ni kuonyesha kuwa you can stand strong alone na kua-achieve something for your own good! Kwamfano mimi sio such a “career woman” but I managed to get my college education. Nasio hivyo tu, nimelea mwanangu ambaye niko so proud of her! Plus, naishi mwenyewe hapa Marekani bila msaada wa mwanaume hivyo mwanaume yoyote yule atajua kuwa kama tumependana ni kwasababu zingine na mapenzi ya kweli nasio ugumu wa maisha wa hapa Marekani! Angalia, mfano wa karibu ni Jokate, she’s a great example kama utataka kujifunza kutoka kwake! You have to show some potentials!

《6》Lamwisho, achana na mashoga a.k.a “wadada wa mujini”! You have your sisters make them marafiki zako wa karibu. Unaweza ukawa na baadhi ya marafiki wazuri kwa kula “bata” but don’t let them be your close friends! Kwasababu naona wengi wao sio wazuri na mkikorofishana siri zako  zote wanakutolea nje wakati wewe sioni kama unatabia ya kutoa siri za watu! Hivyo achana nao kabisa! Otherwise, mie nakupenda sana na nakutakia mafanikio mema. Najua bado unanafasi ya kufanya matengenezo! Kama nimekosea naomba unisamehe sana. ❤

The journey to motherhood: Congratulations Nambua Cassandra!

Alpha Igogo -bloggerWapendwa wasomaji wangu, naomba niwaletee tukio zuri sana la safari ya kuzaliwa mtoto Prince. Ni tukio ambalo limekuwa recorded na shemu ya hiyo video imeonyeshwa na mama mzazi kwa kupitia account yake ya Instagram! ……….. Kwanza nianze kwa kusema hongera sana kwa Nambua kwa kujaliwa mtoto wa kiume! Mungu amlinde akuwe katika kimo na hekima. Akampendeze Mungu kwanza na kisha wanadamu! Karibu katika chama cha wakinamama/ wazazi! Safari hii ni ndefu, yenye changamoto nyingi lakini ni tamu mno! Nasema nitamu mno kwani kama kuna kitu nime furahia kwa 100%  na bado naendelea kufurahia with all the pride is being a mother! Lakini kila siku namrudishia sifa na utukufu kwakwe Mungu maana bila yeye hakuna litakalo wezekana! ……..kwakweli nimependa sana hii familia ya Mr and Mrs Mlaki! Nimependa sana their spirit, wako so open and together, inapendeza sana mfano mzuri sana wa kuigwa katika jamii! Hii dunia imeshabadilika (21st century) kuna mambo mengi ya karne 19 inabidi kuyaacha maana siyo tu jamii haiipi nafasi bali pia hata technology haivitaki! Kwa mfano katika karne hii 21 n* kitu cha kawaida kabisa katika jamii zilizo ona mbele mama na kijana wake kuwa ndani ya chumba cha upasuaji wakimuangalia binti/ dada akileta kiumbe kingine duniani! Wakati jambo kama hilo bado linaweza likawa tatizo katika sehemu nyingi za Africa! ……….. Maelezo yote ambayo yameambatana na picha yameandikwa na Nambua ambaye ni mama mzazi wa Prince!  #NaniKamaMama. Yesterday 4th June, 2017 was one of my big day osn earth. Nimepata experience ya ajabu sana katika maisha yangu. Mwenyenzi Mungu Muumba Mbingu na Nchi amenijalia kujifungua mtoto wa kiume 9.25am South African time. HIYO NI FIRST FOTO ALIPOTOKA TUMBONI KWANGU, ALIPOTOLEWA KAANZA KULIA. Ilikuwa sala yangu kujifungua mtoto wa kwanza DUME. I’M OFFICIALLY A MOTHER. Jana usiku sijalala kabisa nimekaa natoa macho, namshangaa huyu mtoto. Bado siamini kama ni mtoto wangu, namuona stranger, mgeni flani hivi. Na sikujua watoto wanatoka mbali hivi. Heshima kwa wamama wote waliozaa. ??. Napenda kuwashukuru wote waliokuwa na mimi katika hii safari yangu. Nikisema nitaje majina mengi sitamaliza. Surely it was a long trip. My brother @laumlaki huyu ni commando aliingia theatre aka record tukio zima la Cesarean operation na mama yangu @lwisemanka amempokea mjukuu wake. Lord Jesus I give you glory. In Christ I have made it to God be the Glory. Yeremia 29:11 HAKIKA MAWAZO YA BWANA NI MEMA JUU YANGU, Yeremia 33:3…… BWANA AMENIONYESHA MAMBO MAKUBWA MAGUMU NISIOYAJUA.

Hapo niko theatre (operation room) najindaa nimlete mwanangu duniani. Nacheka cheka tu naona wanachelewa……?. Niko na mama na mdogo wangu @laumlaki paparazzi. Hili tukio kwangu ni very historical considering mahala nilipotoka. Nilisema Im going to record kila kitu wakati najifungua niweke ktk dvd. Namshangaa Bwana Yesu na matendo yake makuu juu yangu. Nawashukuru sana MEDICLINIC, SANDTON. Doctors & Nurses are very friendly na makini ktk kazi. Biblia inasema katika torati: Mateso ya mwenye haki ni mengi, lakini BWANA humponya nayo yote.????? Amen. 

My mother @lwisemanka, my mdogo @laumlaki and my photographer ms melody, hawa nilikuwa nao theatre. Walitaka waone ceserean section inavyokuwa, yani kila kitu na wawe wa kwanza to see my baby. Nimewaita mashilawadu wangu.????…….. love you all. Kweli watoto wanatoka mbali sana. Halafu hili zoezi nimelipenda sana la kuingia theatre na familya yako au photographer wako.

Hapo nimetoka kutoa mtoto tumboni naumwa sana, nimezinduka. Koo limekauka kwani niliwekewa oxygen. Yani kuitwa mama aisee ni kazi! Nafundishwa kunyonyesha naona ni adhabu halafu siamini kama nitaitwa mama. Shikamoo mwanamke. Naomba wanaume wawaheshimu wale wanawake waliozaa wakawafanya wakaitwa wababa. Hii experience ni ya ajabu. Wamama shikamooni. Kuanzia leo simgombezi tena mama yangu……. Biblia inasema ZABURI 34:19-21 MATESO YA MWENYE HAKI NI MENGI LAKINI BWANA HUPONYA NAYO YOTE.HUIHIFADHI MIFUPA YAKE MY FIRST BORN,UZAO WANGU WA KWANZA…… BWANA MUNGU AKASEMA HAKIKA NITAKUBARIKI NAE AKANIBARIKI NA HUYU KIUMBE KATIKA JINA LA YESU …………… PRINCE THAT HIS NAME.NI PRINCE MTOTO WA MFALME WA WAFALME, JEHOVAH RAPHA. TODAY HE IS ONLY 15DAYS OLD NA AMEANZA TO POZI TAJIRI MTOTO. I LOVE YOU MY SON. I LOVE YOU. HUYU KIUMBE NIMEMJUA SIKU 15 ZILIZOPITA ILA NAMPENDA KULIKO VIUMBE VYOTE DUNIANI…….???? MY LIFE HAS CHANGED 100%. #nambuacassandra @baby.mix.baby. 

Me and My baby PRINCE that his name (tajiri mtoto)…… hapo yuko 12days old????. Na nilipokuwa natafakari?? siku zangu duniani, Nae Mungu akasema na mimi akaninong’oneza MWANANGU NEEMA YANGU YATOSHA JUU YAKO. MGHH SIKUAMINI……. ILA LEO NIMEIONA NEEMA YAKE KWA KUNIZAWADIA MTOTO WA KIUME SAWASAWA NA HAJA YA MOYO WANGU. (Heart desires) ??? Neno la Mungu linasema (Torati) Zaburi 37:4-6 Nawe utajifurahisha kwa BWANA. Naye atakupa haja za moyo wako. Umkabidhi BWANA njia yako, Pia umtumaini, naye atafanya. Ataitokeza haki yako kama nuru. Na hukumu yako kama adhuhuri……. #nambuacassandra #huumchezohauhitajihasira

***HONGERA SANA NAMBUA CASSANDRA***

Baba na mama wawili katika ubora wao!

“Nilikupenda, nakupenda na nitazidi kukupenda……Mpaka kifo”…….hayo ni maneno yake mke mwema ambayo aliambatanisha na hii picha!

Alpha Igogo-blogger

Jamani, mama wawili alisha semaga na bado anasema ni mpaka KIFO! Kwa mahaba hayo, nini tena Mungu akupe! Tulia mama tulele #Bilionea  wetu, aje aone watoto wake wakiingia college na hata kuwa na miji yao ati!!………Kila siku baba na mama wawili wanazidi kunoga! Kupendana raha sana! Nimesema Kupendana siyo kupenda! Kupenda mtu asiye thamini penzi lenu ni Majanga! Utateseka mpaka basi! Lakini mkipendana kwa dhati kama Dr Mengi na Jackie wake aaah! Mbona raha sana dunia yote unaona ipo kwenye kiganja cha mkono wako ??   Wenyewe wako zao vacation na watoto wao huko Britain! I’m jealous kwakweli, can’t wait kwenda vacation na Muhaya wangu na mimi nikaige mapozi haya ?? ……..nimependa sanaaaaaa!

Man-up and kill it with kindness!

Yess! Keep on moving Bosslady a.k.a the New C.E.O of the “Rich Gang” ?? You Man-Up girl and em haters just kill them with kindness!!……………I just love this, do you guys see what I’m seeing?! The msg is on the shoes people!! While MEN are Manning-Up in ?? “Flat” shoes  the Bosslady is Manning-Up in ? ?HighHeels baby ???You Go Zari! Keep that Legacy going!! Tell them We Run this Planet, of course in HighHeels ?? 

Mr and Mrs Obama katika ubora wao!

Wow!! Mr and Mrs Obama katika ubora wao ?? Michelle is looking hot ??……wenyewe wana enjoy weekend kwa raha zao! ……..unajua kuna watu wengi haswa Wabongo wana “act” mapenzi yao kama Barack na Michelle bila kujua kuwa hawa hawakuanzia kwenye kula bata na kuvaa nguo ambazo rangi zinaendana NOPE! Walichafuka vumbi kwanza kujijenga financially na kutengeneza “brand” yao! Yes! They knew what they wanted, Obama alijua ndoto yake kubwa ni kuwa kiongozi wa juu wa hii inchi  (U.S.A) na Michelle alikuwa anajua anataka a man who will spoil her like crazzzy! Ndio maana katika kumsaidia mumewe ku-achieve his dream Michelle akaacha one of the most highly pay job na kuamua kufanya community work ili kumtengenezea njia mumewe!! Sasa ndoto zilipotimia Mr “lover man” naye akatimiza ahadi yake. He’s spoiling her like crazy and I’m sure he loves it as you can see his ego through his body language ??  Girl it doesn’t come that easily! You have to give all your energy  / invest in what you want!! …….I just love them!……….Eti nyie wenzangu mnataka wanaume wa kuanza kuvaa sare ili mpige picha za kuweka kwa social medias wakati bank account inasomeka  (-50) ?!! Mapenzi bila pesa hayanogi jamani!! I ain’t a gold-digger but can’t stand a broken lazy nigger!…..just saying!

Je, anaweza endeleza jitihada na maono yako? Au……..!

Nasema nawe!! Yes, wewe mwanaume au mwanamke ambaye Mungu amekuonyesha wito wako na kukutimizia ndoto zako katika hii dunia!! Je, huyo mwanamke au mwanaume ulienaye ataweza kuendelea jitihada na maono yako baada ya kifo chako? Au ndoto zako, jitihada na maono yako yote yatazikwa na wewe?!! Will she be able to carry on your legacy? Or she is just a “trophy” wife who knows just about how to put makeup on naku-appear on the red carpet?! Au ni yule mwanamke ambae anajua kutunza nyumba na watoto and got no clue about what her husband / partner desires! Je, umeshawahi kutafakari juu ya hilo kabla ya kunyoosha mkono wako wa kuume nakusema “Yes, I do” mbele za Mungu! …………Well! Chukua notes  kutoka kwa mrehemu Ivan Semwanga. Yeye alijua (after he broke up with Zari, am just guessing)  kuwa hakuna mwanamke yeyote on this planet who will carry his legacy the way his heart desired kama Zari! Ndio maana pamoja na mahela yake yote Ivan hakuweza ku-move on wala kuzaa na mwanamke mwingine isipokuwa wale watoto aliozaa naye Zari! Sikiliza maneno ya Zari na pia angalia matendo ya Ivan utapata jibu kuwa Zari is telling the truth kuwa “Ivan knew Zari is the right person”! Na Zari anahiakikishia dunia kuwa sasa I’m going to wear Ivan Semwanga’s shoes and do it for his boys, his legacy, family, and fans!! Nasema hivi, kama hauna watoto wakubwa ambao wataguswa na jitihada na maono yako je,  does your woman / man not only knows the “game” you are in, but rather knows how to play and keep the game moving on as well?!  Au your work done will be equal to ZERO once you are no more! Its 21 century you better kutafakari na uchukue hatua!

#R.I.P Ivan Semwanga  #Zari you are the best of all!

One of Ivan Semwanga’s properties

“Kazi ya kuajiriwa ni nzuri lakini sio yako ni ya mwajiri wako.” Dina Marios

Naomba niongee na wale ambao tumeajiriwa.Pamoja na kuwa tupo katika ajira tujitahidi kuestablish biashara au mradi wako nje ya ajira yako.Angalia katika mazingira yako vitu gani unaweza kufanya ili kuongeza kipato cha pembeni.Kuna wazee wetu ambao labda wanasoma hapa wameshapitia hizi hatua za maisha.Ila wapo vijana wenzangu humu ambao bado hujastuka au kujipanga sawa sawa.

Binadamu unaouwezo wa kufanya mambo mengi sana ukiamua.Hivyo usijibane sana spread your wings hata kama unalipwa mshahara mkubwa ofisini.

Kazi ya kuajiriwa ni nzuri lakini sio yako ni ya mwajiri wako.Mwajiri wako anaweza kudai kazi yake au hata kuifuta wakati wowote na ukabaki unambwela mbwela tu usijue la kufanya.Mpaka uanze kutafuta kazi sehemu ingine hali inakuwa ngumu lakini kama una miradi na biashara zako zingine wakati unasubiria kupata ajira ingine unaendelea na shughuli zako tena na ukaamua kabisa No kuajiriwa.Nakuomba usijisahau unapokuwa kazini ukamfanyia kazi muajiri wako tu na ukaacha kuanzisha jambo lako mwenyewe.Unaweza kuwa na shamba,biashara yako,ufugaji au una talent fulani ukaitumia.

Kuna dada ameajiriwa lakini hodari sana wa kutengeneza pilipili.Ana biashara ya pilipili/chachandu ambayo inamuinguzia kipato.Tena wateja wakubwa ni ofisini kwake na maofisi mengine jirani.Zipo supermarkets kadhaa na min supermarkets.Ananiambia kwa jinsi anavyopata pesa kwenye pilipili hata mshahara wake ana muda hajaenda bank kuugusa.

Huo ni mfano tu Mungu amekusudia kukufanikisha katika mambo yote.Hivyo kujibana katika kazi hiyo tu ni kumuwekea Mungu mipaka ya baraka alizokupangia.Na Mungu mwenyewe anasema usiogope. Jitahidi kabla upepo haujageuka ukaja kukumbuka shuka kumekucha.Maana huwa vinageuka kwa kushtukiza hata kujipanga hujajipanga na kila siku ulikuwa unasema kesho kesho.

Nashukuru Mungu hata mie nje ya ajira nina biashara yangu ya mafuta ya nazi.Dina Marios baby coconut oil bidhaa ambayo naamini miaka kadhaa ijayo itakuwa brand kubwa ya mafuta ya nazi ya watoto.Nina projects nyingi za wanawake na watoto sijatulia kwa sababu Mungu amenipa uwezo na lazima niutumie Sifa na Utukufu ni kwake yeye aliye juu.

Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu,bali shamba langu mwenyewe sikulilinda…wimbo uliobora 1:6

Kila la heri!

Happy belated birthday Dr. Mengi!

” happy birthday to the best hubby in the whole world. You have been all I could have asked for in a husband and then some. I love you” JNM

Happy belated birthday to Dr Mengi a.k.a mume ake na Jakiline a.k.a baba twins! Mungu akujalie afya njema na amani tele! Ubarikiwe sana.! ……..wamenoga eeh! Mimi penda wao sanaaa!

Happy belated wedding anniversary to the one of world’s amazing couples!

“Happy Wedding Anniversary to us. And we would love to wish you all Ramadhan Mubarak (Repost i deleted the previous post…I added one photo I have a lot of romantic photos of me and him but I am a little busy to look for them) @mali_kimesera I LOVED YOU THEN, I LOVE YOU NOW, AND I LOVE YOU TOMORROW NTILL DEATH DO US APART IN-SHA-ALLAH ?? #RamadhanKareem” 

Wow! How did I miss it!! Just forgive me my dear! Happy belated wedding anniversary to the one of the greatest couples in the world! Wishing you endless love, good health, and more happiness together and forever! Mbarikiwe sanaa Mr and Mrs Kimesera a.k.a baba na mama wa “ma-private jet” ?? .Happy anniversary wapendwa ? ?❤?

“Don’t make marriage a jail”~~~ChrisMauki

Enyi waume, wake zenu pia ni wanadamu, they are social beings, walikuwa na marafiki kabla hamjawaoa, usidhani wewe ndio ulikuwa binadamu wakwanza kwenye maisha yake. Kasoma kuanzia shule ya awali hadi chuo kote ana marafiki au hatakama hajasoma lakini ana marafiki wa mtaani na ujanani. Iweje leo kaolewa na wewe ndio unajifanya kumfungia kila mwanya wa kuonana na marafiki zake (simaanishi marafiki wa mapenzi), unamkataza kutoka, akienda vikao vya kinamama ni shida, akijiunga vikoba ni shida, akitaka kwenda kwenye mikutano ya dini ni shida kubwa, unamyima kuwa na marafiki na akitoka kidogo basi hauishi kupiga simu kumuuliza anarudi sangapi. Ikifika saa 12 jioni utaskia mwanaume anamwaga povu “wemwanamke uko wapi, wehujui ni mke wamtu? Unafanya nini nje hadi sahizi”? Mimi nikuulize, kwani wewe haujui kuwa wewe ni mume wamtu na baba wa watu? Sasita usiku unafanya nini nje ya nyumba? Au umekuwa jambazi? Simaanishi akichelewa asiulizwe la hasha, namaanisha kunyimwa uhuru kusipitilize ikawa utumwa, kisa eti wewe haupendi awe na mahusiano na wengine. Mwanamke hajaolewa na wewe kuja kuua ulimwengu aliowahi kuwa nao awali. Lets be fair to each other. Ni vizuri kilammoja akijali hisia na wellbeing ya mwenzake, na hapo ndipo furaha ya kuishi pamoja inapokuja. Dont make marriage a jail #ChrisMauki

“Let people get inspired by how you deal with your imperfections” ~~~~ShyRose Bhanji

“You don’t need to be perfect to inspire others. Let people get inspired by how you deal with your imperfections”………………… Maneno ya hekima haya toka kwa Dada wa Taifa! Maisha yako unayopitia au wewe mwenyewe jinsi ulivyo (your character) yawe mazuri au mabaya kwa namna moja ama nyingine lazima yatakuwa yanatoa mafunzo kwa wengine.  Huitaji kuwa mkamilifu kama “Malaika” ili kuwafanya wengine waone kuwa unafaa! Hakuna aliye mkamilifu hapa duniani na kama unafikiria wewe ni “Malaka” basi simama na uwe wakwanza kuturushia mawe sisi wadhambi!

Get inspired by dada Tuma!

Get inspired by dada Tuma weight loss journey! Fanya mwaka 2017 kuwa mwaka wako wa kufanya matengenezo kwa afya ya mwili wako na roho! Leo nawaonyesha picha ya dada yangu kipenzi dada Tuma ambaye alianza safari yake ya matengenezo ya afya yake mwishoni mwa mwaka jana, na sasa hivi she looks amazing! Yeye anafanya mazoezi na kuzingatia zaidi vyakula anavyo kula. Naona kuna watu wanatumia dawa ili wapungue lakini mimi naona ni bora mtu upungue kidogo kidogo hata kama ni kwa muda mrefu kuliko kutumia dawa! Lakini mwenye maamuzi ya mwisho juu ya mwili wako ni wewe mwenyewe!………..Happy birthday dada Tuma na hongera sana ?❤❤

“Kupata mtu wa kuzaa nae inaweza isiwe tabu sana ila…..!” Diamond

“Kupata mtu wa kuzaa nae inaweza isiwe tabu sana ila kupata mwanamke atakaye kubali kuacha starehe zote za dunia na kukulelea watoto ipasavyo siyo kitu rahisi………….kazi yangu imejawa na vishawishi sana, wakati mwingine napatia wakati mwingine nakukosea lakini siku zote umekuwa mwenye kunanielekeza pale nikoseapo na sio kunihukumu……..na ndiomaana siku zote chochote ukitakacho nikiwa nacho lazima nikupe pengine itanisaidia kukueleza ni kiasi gani nakupenda na kukuthamini………Happy Mother’s Day @Zaribosslady”~~~~~~Diamond

Womanhood!

“It ain’t about me, it’s about God, my family and ?…….#CircleTooSmall”~~~~~ Zari the bosslady

“Eliminate the clutter from your life ladies…!”

Haya ujumbe kwa single ladies ambao wanatamani kuwa na “King” katika hemaya zao ?? Mnaambiwa hivi msipende kuongozana sana na wanaume au kuwa kwenye makundi ya wanaume pale mnapokuwa mnakwenda outing kwani wakaka ambao hawajaowa watashindwa kuelewa kama upo mwenyewe /single au umeshachukuliwa! Hata kama ni kaka zako usiwe unatokanao mara kwa mara as wanaume watakuogopa ? (nimekoleza tu). …………Mpendwa usijizibie bahati yako kwa kuongozana na marafiki wakiume kila wakati 😉 😉