Category Archives: Lifestyle!

Jacqueline Mengi: Love is an act of endless forgiveness!

Nimeenda kuchungulia kwa Mrs Mengi nikakutana na picha nzuri sana zakwake na maneno Fulani amazing hivi, "love is an act of endless forgiveness"! Haya ni maneno rasmi aliyo yatamka Beyonce baada ya kumsamehe Jay Z kwenye ile "cheating scandle" nakusema kuwa amejifunza upendo ni tendo la kusamehe bila ukomo / kukoma! Dah! Haya maswala ya mapenzi namwachia Jacqueline na Dr Mengi wake maana site wengine tulishaga achana nayo  ????. 
Kuna mtu aliandika article akisema Beyonce amemsaidia sana kwa maneno yake hayo ............."The best part of the show is when Beyoncé gives us the quote about forgiveness.

Love is an act of endless forgiveness. Forgiveness is me giving up my right to hurt you for hurting me. Forgiveness is the final act of love” 

All this while getting shot in a wedding dress. Yes, shit gets THAT real.
We’ve all been there for before where we wanted to hurt the one we love because they hurt us. Why? Because no one can hurt you more than the ones you care for. They know you best and you feel so vulnerable to them.

It is a valuable lesson to be learned here. In order to sustain love, you have continuously BE love. You have to be willing to love through thick AND thin. It’s easy to stop loving once you’ve been hurt but as the late Maya Angelou once said, “Have enough courage to trust love one more time, and always one more time.”

If two people can put aside their ego and realize that mistakes will be made; and know that nothing worth having will come without HARD work to keep it, you can really have that ever lasting love you seek." ............unaweza soma article you kwa kubonyeza ?? (LoveIsAnActOfEndlessForgiveness).  

“If you are happy with yourself it’s very easy for others to make you happy”JNM……….Umependeza sana! Super clean and beautiful!

Jacqueline Mengi: Apendwae akajua haachi kujishauwa!

If the only prayer you said in your whole life was “thank you” that would suffice. Meister Eckhart

Nimekwenda kwenye Instagram page ya Jacqueline Mengi nikakuta ame post msemo huu “Apendwae akajua haachi kujishaua”!………… Kwakweli hata mimi nakubaliana na huo msemo! Raha sana kupendwa na mtu anayekupenda kwa right reasons and in a right way!! Kuna watu wanaweza kukupenda in a wrong way kama Bobby  Brown na Whitney Houston! Bobby Brown alikiri kuwa alimpenda Whitney Houston but he didn’t love her in a right way!! Sikiliza sehemu ya hiyo interview hapa ??

Hapo ni vile mtu anakupenda lakini anashindwa kukukataza au kukuzuia kwenda kwenye njia mbaya badala yake na yeye ana support njia zako mbovu in the name of “LOVE” halafau wote mnaangamia. Sasa kwa hawa aliye salimika ni Bobby peke yake Whitney na binti ya ke BobbiChristina wakafariki kwa drugs….. Mtu anyekupenda katika njia sahihi na kwa sababu zilizo sahii siku zote ata wish to see the best of you! Mtu huyo atapigana mchana na usiku kuwakikisha hauingii gizani na kupotea. ………Hivyo ukimpata mtu wa namna hiyo huna budi kushukuru Mungu na kama binadamu basi kujishaua lazima!…….. Wewe jishaue tu Mrs Billionaire, acha wenye wivu wajinyonge tu ??? kama hawana kamba tutawanunulia waseme tu ???

LeMutuz: vijana wadogo sana wanaojaribu kutafuta muongozo wa maisha nyuma yenu kuna vijana ambao majumbani mwao na familia zao hakuna muongozo bora wa maisha ndio sababu wapo Instagram kujifunza

 LIVE STRAIGHT TALK:- The Art of peace hii picha ni kumbukumbu sana ya siku ya pili ya kuanza kwa mahusiano yao yaani @diamondplatnumz & @zarithebosslady na jana Instagram nzima tumeshuhudia mambo yasiyokuwa ya kiungwana baina yao...my appeal to both of them ni spare us your close friends and your fans cause wote kwa pamoja mna wafuasi Millioni 7 wengi ni vijana wadogo sana wanaojaribu kutafuta muongozo wa maisha nyuma yenu kuna vijana ambao majumbani mwao na familia zao hakuna muongozo bora wa maisha ndio sababu wapo Instagram kujifunza now kwa you guys Icons wa maisha ambayo Vijana wengi wangependa kuwa nayo mkianza kuwaonyesha kwamba mkifarakana cha msingi ni kwanza kuionyesha Dunia kwa kutumia kuunfollow each other huku kwenye KIOO yaani Instagram mtawavuruga sana vijana wadogo Instagram ...na the worst of all ni sisi marafiki wa karibu mtatupa wakati mgumu sana wa kuchagua sides baina yenu that is not fair to us your friends ...again ninawaomba sana mtumie busara na uungwana wote sio wageni wa Mapenzi na watuwazima kila mmoja anajua anachokifanya kupendana na kuachana ni mambo ya kawaida na infact hata kurudiana tena ni kawaida sana so please guys calm down and solve your ishus kwa manufaa ya wafuasi wenu Milioni 7 they deserve better than what you guys did yesterday ...please I am again appealing to both of you @zarithebosslady and @diamondplatnumz please spare us na msipokuwa makini mtawapa maadui wenu wakubwa mwanya wa kuingia hapa kati yenu na kuwavuruga zaidi ....kwenye mapenzi kufarakana ni kawaida na kuachana ni kawaida na kurudiana ni kawaida pia ila angalieni msije mbele ya safari mkaja kushindwa ku overcome the distarctions you are about to bring to yourself wazungu wanaita SELF DISTRACTIONS ....love U all guys but please tuoneeni huruma mashabiki na marafiki zenu tusifikie kuchagua sides baina yenu......MATATIZO KWENYE MAPENZI YANATATULIWA YAKISHINDIKANA MNAACHANA KWA AMANI!....... MUNGU AWATANGULIE WOTE! - le Mutuz

Mmesikia? “Mke mzuri halindwi”!!

Wahenga waliyaona na kushuhudia kuwa ni ukweli haiwezekani, ndio maana wakatoa “angalizo” au muongozo ili vijana wanaokuja wajifunze bila kufanya makosa!……….Sasa Wahenga walitoa angalizo kuwa “mke mzuri halindwi”!! Mke nzuri anahitaji MATUNZO NA HESHIMA basi wala huangaiki naye anatulia ndani ya nyumba anapendeza kama waridi!! Sasa wewe unadai unamke mzuri halafu amani rohoni hauna umekuwa FBI wa penzi lako mwenyewe? Inahusu!?! Mke nzuri muwekee mazingira mazuri ya kuishi kama haya ya Jacqueline, kiyoyozi masaa 24, maji safi ya kunywa na kuoga unafikiri atatoka? Aende wapi?! Sasa wewe mke mzuri halafu unampangia chumba uwanja wa fisi karibu na “corner bar” utafikiri alikwambia yeye Bar Maid ??? halafu wewe ndio mkali mtu asipite karibu yenu ??  Jamani mke anahitaji matunzo nyie wanaume! Mke anahitaji heshima, sio kumchanganyia wanawake kila asubuhi!! Yani hata heshima kwa wanawake wenzake hapati kwasababu ya mumewe!! Embu muige mfano hapa!! Hata kama hauna hela ya kumjengea nyumba kama hii jaribu kumuonyesha thamani yake kwa kumuwekea mazingira fulani mazuri! Kha!……( tuache matani Jacqueline mzuri eeh)  That Foyer is one to die for kwakweli! Your house is beautiful! Safi sana!——–‘ Btw! Jacqueline, kwanini usinunue Miss Tanzania? Naamini wewe unaweza ukayapeleka na kuyapa hadhi yanayostahili kwani uwezo wa kupata sponsors wa uwakika unao! Embu tafakari Miss wetu! Ongea na Dr. Mwakyembe na Lundenga uyachukue mpendwa! ??

The Queen herself!…….. Ujumaa njema/ weekend njema wapendwa!

@aminadesign @laviemakeup…. Was great working with you, awaiting this project

Nawatakieni Ijumaa njema na weekend mjema. Embu tufunge wiki na hizi picha za Queen, the one and only one BossLady! Pendeza sana ❤❤…………Sorround yourself with love, wenye roho za kwanini kaeni nao mbali lakini msiwasahau kuwaombea!  Continue reading The Queen herself!…….. Ujumaa njema/ weekend njema wapendwa!

Yesss! BossLady! Don’t let her over-shine you! Just keep Queening!


 “Am such an early morning person as some can see on my snap, usually up by 5am. Let’s start this day on a different note, shall we? Ladies and gentlemen I’ve heard you loud and clear, the advises, the consolation, the pity, the hurt you feeling on my behalf most of all the betrayal. But let’s look at this on the positive side. When a person chooses to cheat on you it’s not YOU actually its THEM which usually turns out that they played themselves while they thought they are playing you. You should never look down on yourself, don’t ever think you are worthless because of another person’s mistake & never blame yourself. But always look at how to pick yourself up and get going. That said, with my birthday approaching let’s put all this negative energy behind us and appreciate, LIFE! ?”

 Yes! You Go Zari!! Don’t let her over-shine you! You have been a Queen way before her and CROWNS ARE A GIFT FROM GOD, THEY ARE CUSTOM MADE!! NO ONE CAN FIT ON YOUR CROWN BABY!!  IT GOT YOUR NAME WITH IRREMOVABLE SIGNATURE FROM GOD!!  Just keep Queening!! I love you even more!! ❤❤❤❤ Birthday loading huh ?? shame on them ?? And Diamond ataembea kwa magoti mpaka South Africa?!!  let them cry and their heart bleed badly ??????

“BlackLoveDoc”

Wapendwa kama mjuavyo mimi ni TV addict but stupidity never entertained me!! Yani huwa na penda show zenye kunielimisha kimwili na kiroho, pia za kunifurahisha lakini siyo show zenye mambo ambayo hayana mana. Sasa mwezi uliopita kwenye OWN channel Oprah akatangaza hii show mpya inaitwa “BlackLoveDoc” ambapo wapenzi/ wanandoa wenye asili ya watu weusi (blacks couple) wanaelezea their love story, parenthood, na challenge walizopitia na how they overcome them. Inahusisha celebrities na watu wakawaida.  Yani I literally said to myself, huyu Oprah is reading my mind or what? Kwasababu hiyo ndio nilianzia hapa kwa blog yangu na kila mwaka on Valentine’s day huwa nataja couple of the year!………. Anyway, show ni nzuri sanaaaa! Nimeipenda mno,

Wenye mapenzi ya kweli utawaona tu toka mwanzo, wewe saa kumi asubuhi mtu anapiga simu Kwasababu kasikia kuna Earthquake? Ndugu zangu mliopigwa na Hurricane Harvey mlipokea hata text za pole ??  wahenga walisema kuwa uyaone ??

Show inapatikana kwa YouTube unaweza angalia katika muda wako. 

Womanhood!

“Let us be grateful to people who make us happy, they are the charming gardeners who make our souls blossom”.Marcel Proust
Mama wawili nimependa sana picha yako na caption yake. But forgive my ignorance; unajua in my mind I never pictured you driving alone! Yani nilikuwa na picha ya wewe kuwa na driver 24/7 ??  kabisa in a counter kwamba you are "Mrs billionaire" why not while you can afford it! Kweli wewe sio mwanamke wa spoti spoti! I give 10 ? across the board!

Womanhood!

It doesn’t matter how bad your day is, BE NICE to everyone, you never know what type of help God is sending your way . #happysundayeveryone ? #millenmagese⭐️??

Vazi la Michelle Obama laleta tafran’ kwa Facebook!

Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Marekani kabla ya Donald Trump, Malia Obama asubuhi ya leo alipost picha ya mama yake akiwa vacation kwenye visiwa fulani huku akiwa amevalia vazi la ufukweni. Mama Obama alionekana kama alikuwa anapanda kwenye boat ambapo upepo ulipuliza na kuacha sehemu kubwa ya mapaja yake wazi. Kuna watu ambao hawakupendezwa na hiyo picha kuonyeshwa kwenye public, kuna wengine hawakupendezwa kwa jinsi alivyo vaa mbele ya macho ya watu wengi wameona kama hastahili kuvaa hivyo kwani ni mtu ambaye anaheshimika sana na alikuwa First Lady wa Marekani. Mmmh! Embu wee tizama picha halafu useme jinsi uonavyo; mimi sijaona ubaya wa hiyo picha kwani vazi lilikuwa sahihi na alipokuwa. Nilisha sema huko nyuma (SomaHapa) picha kama hiyo kuwekwa kwa public ni maamuzi binafsi na ujasiri wake. …… Maoni ya watu yapo kwa lugha ya English kama uwelewi basi tafuta mtu akutafsirie!

Baadhi ya maoni: 

Je, Zari ataweza kubeba “bendera” za nchi mbili!?!

  Katika Biblia kuna maneno yanasema ‘hakuna mtu awezae kutumikia mabwana wawili’! Yani kiufupi lazima mmoja utampendelea na mwingine utamuonea kwa mapenzi ya uwongo! Sasa, wote tumeshuhudia maisha ya Zari na Ivan mpaka kuachana kwao. Lakini pamoja na hayo Ivan bado hakuona mtu mwingine ambaye angefaa kulinda mali zake, watoto wake, na kuhakikisha kuwa his Legacy forever lives zaidi ya Zari. Na Zari mwenyewe kwa mdomo wake alitamka mbele ya kadamnasi siku ya mazishi ya Ivan Ssemwanga  (SomaHapa) kua atavaa viatu vya Ivan Ssemwanga, kwani yupo tayari, anaona kama she was prepared enough for it!!  Na kwamba she will do it for his boys, his family, friends, and his legacy!  Swali ambalo ninajiuliza will Zari be able to be a “flag bearer” for the two men from different countries?!  Can she honestly, sincerely, and lovingly serve the “two masters”! ……..Personally, I’m not sure but very curious to see how will this go down considering one of her “men” is still living and 100%  involving in her life!………Will Zari disappoint many or will she continue to shine and come-out as a shero? Will this be Zari’s downfall as she may lose some sort of “respect” from Ugandans who are / were hardcore fans of the “Rich Gang” particularly  The Don- Ivan Ssemwanga?! Will Watanzania accept Zari and give her 100%  support to carry their flag as Diamond’s wife especially after his bizarre behaviors of abusing and disrespecting women!?! Remember “The B**** is dying for fame”  and “the baby is not mine”! And finally, the boys are growing up, one day they will have bunch of questions to ask! How will her children feel? Will they feel a sense of betrayal from their own mother; the only living parent?! Can’t get any better than this!! I will surely keep up with the story. And You be the judge!

 

Don’t settle! Ladies learn to wait!

Hii picha imenikosha moyo wangu!

Kwamnao nijua lazima mtajua jinsi gani huwa naishukuru hii familia. Yani nimekuwa nikitumia picha zao sana mpaka mwenyewe nikaona aibu ?? Ndio maana siku hizi nawaweka mara moja moja ili niwape brake kidogo lakini hii picha imenikuna sanaaaa ikabidi niwaweke tu! What a lovely family! Symbol of UNITE as a family! Yani wanasonga mbele wote hawaachani juma. Sijui mama tu ndio awe "super star" hapana! Wanavutana mmoja baada ya mwingine kila mtu kwa karama yake! And please, let us give Mali a credit! Jamani wanaume wangapi wa Kitanzania ambao wangeweza kuzungukwa na team kama hii with their full energy na kumudu?! Kwakweli anastahili pongezi sana! He is one of the very few best father! Mungu azidi mbariki. Na hii familia izidi barikiwa zaidi ya hapa. ❤ it! Mfano mzuri sana huu wa what should family be! "The Grand Opening of Linda Bezuidenhout Couture Boutique at Phipps Plaza. The navy blue dresses are LB Couture, the Cream dress dressed by Linda's 3rd born Maryam and the Red dressed, dressed by the last born Marlinda are designed by Maryam. Linda's third born has been designing from a very early age she started with doll clothes @fashionadoz." ~~~~ Ms LB

Zari please watch this (Iyanla fix my life with Evelyn Lozada)!

Zari, this is all for you. I want you to take a moment and watch these clips or you can watch the whole episode on YouTube and see if you can relate yourself to Evelyn Lozada or learn something worthy to apply in your life! I see the “bling bling ” is off again! Not sure for how long will it be this time!!

Wishing you the best. Love you always!!

“I Esther Akoth will never date a celebrity”

this kind of men steal my heart , not social media addicts who worship the no of followers , likes and comments , I told my daughters , I would be happy if you introduce your boyfriend as , ( mum meet my new catch he is a farmer ) but if you tell me he is a celebrity , am out , you will end up funding a lifestyle which will render you broke , I Esther Akoth will never date a celebrity , unless he has some brains & willing to grow, or he is damn rich, but just because he is famous ???? fame can only take you as far as getting free and easy sex, business class tickets , favours , but no stable income , the rest you pay , think !!! my opinion , good morning peeps ??

“Wabongo hua tunajitoa tu ufahamu lakini tunaujua ukweli tunapouona” ~~~~~~~LeMutuz

LIVE STRAIGHT TALK:- www.lemutuz.com ..."Le Mutuz Online TV" .....ni KAZI JUU YA KAZI yaani Bampa to Bampa ...leo tunaendelea na AWAMU YA PILI ya kufunga Studio's Equipments at Downtown.

Itakuwa ni kazi ya almost Wiki nzima ijayo ...I mean guys it what it is ...ila naomba niseme one thing tena on a very serious tone kumbe Wabongo wanapenda maendeleo ya kweli cause I am a Super Media Man na moja ya kipaji changu namba moja ni I am the best Observer na ndio maana nilipokuwa nasomea Criminal Investigations niliwasumbua sana Wazungu Darasani kule USA cause observations ni my thing that looking at the Facts available I can detect anything Good or Bad before they happens

Now my point is ili niuze my Social Media business ni lazima nijitangaze as I do now nilichogundua ni toka nimeanza mambo ya kujenga Studio mpaka leo sijaona tusi hata moja kuhusiana na the process au hata neno moja tu negative ....ina maana moja tu kwamba kumbe Wabongo hua tunajitoa tu ufahamu lakini tunaujua ukweli tunapouona yaani tunapenda maendeleo ya kweli ila hatupendi Blah! Blah! ....

Na hili somo nilijifunza zaidi last year from @darassacmg alipopiga ule "WIMBO WA TAIFA" na kuwafanya Wasanii wengi wenye maneno mengi waonekane waigizaji na I am also trying to tell you guys hasa Vijana wadogo kwamba unaweza ukadhani waliolkuzunguka wanakuchukia kumbe ni kwa sababu wanakuona huna maendeleo wala huna mabadiliko upo upo tu kama ulivyokuwa Mwaka jana na Mwaka huu upo vile vile hubadiliki kazi kulalamika tu! Pigana piga kelele utasaidiwa tu hakuna mtu anayetaka kusaidia mtu asiyeonyesha hata dalili ya kutaka kusonga mbele kwa matendo wachana na maneno ya "NINA IDEA" cause kuwa na idea bila mfano wa matendo ni sawa na huna kitu upo ground zero ....Idea then Plan A ikishaonekana watakuheshimu tu na kukusaidia.

Unaweza kunisikiliza au ukaniachia mwenyewe ila nimejifunza kwamba Wabongo wanapenda mendeleo na wakiyaona hawahitaji kuambiwa wanayajua...Asubuhi Njema Guys! - le Mutuz Nation

Life has more to offer than just slaying ~~~~~ Akothee Akothee

Mwanamuziki toka Kenya Akothee Akothee, anasema hivi mjengee msingi mzuri wa maisha mtoto / watoto wako ili wawe na manufaa baadaye katika maisha yao! Maisha yanatoa maana nyingi zaidi ya kujipondoa tu! Mfundishe mwanao kupika, kufanya usafi, kuheshimu watu, jinsi ya kutumia na kutafuta pesa n.k Kuna wazazi wengine wamegeuza watoto kama toys! Yani ni kujiremba na fashion za nguo bila kujua watoto wanatakiwa kupewa muongozo wa maisha na maadili ya kuishi hapa duniani na kubwa zaidi kumjua, kumuheshimu, na kumtunikia Mwenyezi Mungu! ......... embu msome Build a foundation for your girlchild , so they become usefull in the near future , life has more to offer than just slaying , a woman has to know how to cook, we're learning how to cook ugali & chapati today , @ruebaby @ #teambigfive @fancy_makadia @veshashaillan we set 

Kama ulipitwa: Mali’s 50th birthday bash!

Wapendwa kama ulipitwa na hii event basi ngoja leo ni TBS right! Angalia hii video ime summarize the whole birthday bash kwa muda mfupi lakini inapendeza sana. ❤ It!

Btw, narudia kumpongeza sana Linda Bezuidenhout  (LB) kwa kufungua duka la kisasa kabisa kwenye mazingira mazuri ya kuvutia ndani ya Phipps Plaza hapo Georgia! Hongera sanaaaaaa ??

Mama Igogo katika ubora wake!

Mama Igogo akifanya yake katika ubora wake, na Tshirt yake ya “I ❤ Halotel”!  This lady can’t sit down ?? Yani ukimuona mama yangu amekaa chini yani kule ku-relax nyumbani absolutely doing nothing but enjoying yourself; basi jua ni mgonjwa siku hiyo ? Kupika aliacha long time ago, rarely utamkuta akipika ila mambo yake ni kama haya analima bustani zake za mboga, viazi vitamu, mahindi, n.k….. Kama hayupo kwenye bustani ya vyakula basi kwenye banda lake wa kuku wa kienyeji, ni shidaaaa! Btw, hapo ni nje tu ya nyumba yake hivyo haitaji dereva kumpeleka shamba ?? Mama yangu was raised with two great human being I have never met before! Babu yangu na bibi yangu mzaa mama walikuwa watu wakarimu mno! Wenye upendo wa hali ya juu, waungwa sana, na wanyenyekevu kupita kipimo! Hivyo simshangai sana mama yangu kuwa hivi alivyo! Namuombea maisha marefu yenye afya njema sana na amani tele ndani ya moyo wake! Huyu ni my niece Sarah! Ni mtoto wa dada yangu Grace-AnyangoNyoyoo, lakini analelewa na bibi yake (my parents). Naona yupo likizo sasa anadeka na kwa bibi na babu ? Missing you mwanangu mie, love you always! Janeth, katoka kwake Mbezi kuja kuchuma mboga kwa mama,  kaiba na ujuzi akaenda kulima kwake ?……… siye wengine kulima hatukusaidii lakini kwenye kuvuna tutavuna na kuvifaidi wote ?? …….. I ❤ my family!

MOYO ULIOJERUHIWA DAWA YAKE NI FARAJA

Mr and Mrs Ridhiwani, wamependeza sana! ?
MOYO ULIOJERUHIWA DAWA YAKE NI FARAJA kama huwezi kuwa faraja kwa mwenzi wako basi ujue husitahili kupewa nafasi hata ya kumwambia HABARI... Maana halisi ya mahusiano ni wawili kunia mamoja, Huwezi kuwa MUME wake kama huwezi kuwa rafiki kwake, Kuifikia heshima ya MUME ipo ngazi inayokubidi kuipanda nayo ni "HURUMA" Mtu ambaye hana huruma hawezi kujuwa vile mwenza wake anaumia, Mtu asiye na huruma hawezi kujikosoa, Mtu asiye na huruma hawezi kujifunza maumivu ya mwingine, Mtu asiye na huruma hajui kabisa KUHESHIMU! Na mtu huyo hata mwenza wake akilia mbele yake yeye hufurahia na kujiona mshindi, Mtu asiye na HURUMA NI KATILI tena amejawa dharau na majigambo, ni mwenye kujihesabia haki muda wote... lakini pamoja na yote hayo MWANAMKE NI MVUMILIVU wala asiyekata tamaa akijenga tumaini kuwa MUMEWE ATABADILIKA wakati huo akiendelea kuumia na kulia kila kukicha, Baadaye unakuta Mwanaume huyo amemuolea Mwanamke mwingine lakini mwanamke huyo anahamia kanisani kumlilia MUNGU ili amrejeshe mumewe, Lakini mumewe hubeza na kumwambia anapoteza muda huko makanisani mnakwenda kujifunza umbea, Still Mwanamke huyo yupo tu! MOYO wa Mwanamke ni MTAMBO... Wallah wakiungana wanawake wanne kwa uvumilivu wao ni KIWANDA???

** Writen by: Elista Relief Heart ..........Picha ya Ridhiwani na mkewe haihusiki na story hii! Nimependa tu! **